Category: Makala
Pinda: Mwanasheria anayepinda sheria
Kuna mambo mengine mtu unaweza kupata sifa hata kama huna ujuzi nayo. Wakati wa mvutano wa Chama cha Wamiliki wa Malori na Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, nilisema Waziri huyo hatafika mbali kwa uamuzi wake wa kusimamia sheria.
Watanzania tuzienzi kauli hizi za Nyerere
Miaka 14 imepita tangu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afariki dunia. Ameiacha dunia ikiwa katika mapambano, misuguano na vita kali ya maneno na silaha kati ya wanyonge na wenye nguvu kuhusu uonevu, dhuluma, haki na ukweli.
MUSSA ZUNGU AZZAN: Injinia wa ndege aliyejikita katika siasa
*Barabara duni Ilala zamnyima usingizi Amejikita zaidi katika masuala ya siasa, lakini taaluma yake ni ujuzi na maarifa ya kuunda, kutunza, kutengeneza na kuongoza mitambo ya ndege. Unaweza kumwita injinia wa ndege. Huyu si mwingine bali ni Mussa…
Yah: Tunahitaji utashi, si lazima kuishi kama kenge
Kuna wakati huwa najiuliza maswali mengi ambayo kimsingi naona yanajibiwa na idadi kubwa ya shule za misingi, sekondari na vyuo vikuu vilivyopo. Najiuliza tuna wasomi wangapi?
Watanzania tupande miti kukuza uchumi
Tanzania Bara ina eneo la hekta zaidi ya milioni 94.7. Wakati tunapata Uhuru Desemba 9, 1961 sehemu kubwa ya ardhi ilikuwa imefunikwa na misitu na mapori. Waingereza walioitawala Tanganyika baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia iliyoanza mwaka 1914 hadi 1918, waliweka Sera ya Misitu mwaka 1953.