JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Ni wakati wa Tanganyika kuachana na Zanzibar?

Alhamisi, Septemba 26, mwaka huu Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Shariff Hamad, alizungumza na watu wanaodaiwa kuwa ni Wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara, jijini Dar es Salaam.

JAMHURI YA WAUNGWANA

Rais dikteta atatutoa hapa tulipo

Taifa lipo njia panda. Sheria hazifuatwi. Kila mmoja wetu anataka afanye au afanyiwe lile analotaka. Masikini wanazidi kuumia. Lakini kwa nafasi zao, nao wameamua kufanya kila wanaloweza alimradi nao wasiwe nje ya mparaganyiko huu.

Nyerere muumini wa ujamaa aliyetutoka

 

Ni miaka 14 imepita tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alipofariki dunia Oktoba 14, 1999 katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas, London, nchini Uingereza.

Heri akina Sipora wanaomuenzi Mwalimu Nyerere kwa vitendo

Kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kila mwaka inapofika Oktoba 14, sasa ni fasheni.

FASIHI FASAHA

Vijana, kujiajiri ni kujitegemea

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amewataka vijana wamalizapo masomo yao shuleni au vyuoni wajiajiri badala ya kusubiri kuajiriwa na Serikali au asasi mbalimbali nchini.

FIKRA YA HEKIMA

TUZO YA MO IBRAHIM KUENDELEA

KUKOSA MSHINDI

Ni wazi sasa hakuna kiongozi bora Afrika

Bara la Afrika limeendelea kuumbuliwa na Wakfu wa Mo Ibrahim, ambapo tuzo hiyo imekosa mshindi kwa mara ya nne mfululizo.