JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

SIKU YA WANAWAKE Binti mwendesha mitambo avutia wengi

ARUSHA Na Zulfa Mfinanga Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD) hufanyika Machi 8 ya kila mwaka tangu yalipoanza kuadhimishwa kimataifa mwaka 1911. Ni zaidi ya miaka 25 sasa tangu kufanyika kwa Mkutano wa Beijing ulioweka bayana makubaliano ya msingi…

Tafsiri halisi Mbowe kufutiwa mashitaka

Na Bashir Yakub Nimemsikia Mwenyekiti wa Chama cha Dermokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, akisema kuwa hakutaka kufutiwa mashitaka bali alitaka kesi ifike mpaka mwisho (yaani hukumu). Yawezekana anasema hivyo kutokana na sababu ya tafsiri halisi ya kufutiwa kwake mashitaka. …

UJUMBE WA KWARESMA ‘Tunawasihi kwa jina lake Yesu Kristo, mpatanishwe na Mungu’

Wapendwa Taifa la Mungu,   Hii ni aya ambayo inahitimisha sura ya tano ya waraka wa pili wa Mtume Paulo kwa Wakorintho. Katika sura hii, Mtume Paulo ametoa maelezo mbalimbali kumhusu Kristo na mwishoni anahitimisha na kumsihi kila mmoja ajitahidi kupatanishwa na Mungu. Mwaliko…

Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (6)

Dar es Salaam     Na Mwl Paulo S. Mapunda Novemba 2019 viligundulika virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona nchini China. Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO), tangu wakati huo hadi sasa inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni tano…

Madai Tume ya Uchaguzi ni masafa mafupi

KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Hivi karibuni Chama cha ACT-Wazalendo kimetangaza waziwazi kuwa kitaendelea kunadi na kufanya ushawishi wa kudai Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kama sehemu pekee wanayoona italeta uchaguzi huru na wa haki.  Wamesema watashirikiana na vyama…

SIKU YA WANAWAKE Warembo wanavyoupiga mwingi Bongo

DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Niwapongeze wanawake kwa kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani. Ni siku muhimu ambayo wanawake pekee waliothubutu kufanya mambo makubwa kwenye sekta mbalimbali ndio wanastahili kupokea pongezi hizo. Nyakati zimebadilika na sasa ni majira ambayo tunaona…