Category: Makala
Elimu ardhi mgogoro wa Makonda, Gharib
Bashir Yakub Kwanza; ukinunua ardhi (nyumba, kiwanja, shamba) hakikisha unafanya ‘transfer’ (kuhamisha umiliki kutoka aliyekuuzia kwenda jina lako, mnunuzi) mara moja kadiri uwezavyo. Wengi mkinunua kwa sababu hakuna anayekulazimisha kufanya ‘transfer’ kwa haraka, basi mkishakabidhiwa hati na mikataba ya mauziano…
Hotuba ya Dk. Mwinyi kwa wahariri
Ifuatayo ni hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Sita wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), aliyoitoa kwenye Ukumbi wa Idris Abdul Wakil, Zanzibar,…
SIKU YA WANAWAKE Binti mwendesha mitambo avutia wengi
ARUSHA Na Zulfa Mfinanga Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD) hufanyika Machi 8 ya kila mwaka tangu yalipoanza kuadhimishwa kimataifa mwaka 1911. Ni zaidi ya miaka 25 sasa tangu kufanyika kwa Mkutano wa Beijing ulioweka bayana makubaliano ya msingi…
Tafsiri halisi Mbowe kufutiwa mashitaka
Na Bashir Yakub Nimemsikia Mwenyekiti wa Chama cha Dermokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, akisema kuwa hakutaka kufutiwa mashitaka bali alitaka kesi ifike mpaka mwisho (yaani hukumu). Yawezekana anasema hivyo kutokana na sababu ya tafsiri halisi ya kufutiwa kwake mashitaka. …
UJUMBE WA KWARESMA ‘Tunawasihi kwa jina lake Yesu Kristo, mpatanishwe na Mungu’
Wapendwa Taifa la Mungu, Hii ni aya ambayo inahitimisha sura ya tano ya waraka wa pili wa Mtume Paulo kwa Wakorintho. Katika sura hii, Mtume Paulo ametoa maelezo mbalimbali kumhusu Kristo na mwishoni anahitimisha na kumsihi kila mmoja ajitahidi kupatanishwa na Mungu. Mwaliko…
Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (6)
Dar es Salaam Na Mwl Paulo S. Mapunda Novemba 2019 viligundulika virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona nchini China. Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO), tangu wakati huo hadi sasa inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni tano…