Category: Makala
KONA YA AFYA
Sababu za kupungua nguvu za kiume -5
Wiki iliyopita, Dk. Khamisi Ibrahim Zephania alizungumzia kwa kina homoni ya kiume na umuhimu wake katika tendo la ndoa. Sasa endelea kumfuatilia zaidi…
Milima, mabonde ya Nelson Mandela
Mpigania haki za weusi na alama kuu ya udhalimu wa mfumo wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, Mzee Nelson Madiba Mandela, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu, kutokana na maambukizo ya mapafu kushindwa kutengamaa.
Nyerere na Uhuru wa Tanganyika
Nazungumzia Uhuru wa Tanganyika. Sizungumziii Uhuru wa Tanzania Bara.
Majuzi niliona mabango yaliyosambazwa jijini Dar es Salaam. Mabango hayo yalisomeka “SHEREHE ZA MIAKA 52 YA UHURU WA TANZANIA BARA”.
Zuma: Nelson Mandela amepumzika kwa amani
Alhamisi usiku Desemba 5 mwaka huu, Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, alitangaza kifo cha Rais wa kwanza mweusi nchini humo, Nelson Mandela, ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95.
FIKRA YA HEKIMA
Kikwete kwa hili lazima nikupongeze
Jakaya Mrisho Kikwete (JK), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu. Kuna taarifa kwamba umewaongezea muda wa kazi viongozi wa ngazi ya juu katika vyombo vya ulinzi na usalama waliopaswa kustaafu kipindi hiki.
Kujiajiri kunaanzia kwenye fikra
Kwanza, nianze kwa kutoa salamu za pongezi kwa Watanzania wote kwa kuadhimisha miaka 52 ya Uhuru wa nchi yetu jana.