JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Vita ya Ukraine ni neema kwa kampuni za mafuta

Na Nizar K Visram Baada ya Urusi kuishambulia Ukraine, Marekani na Umoja wa Ulaya (EU) wakatangaza vikwazo dhidi ya Urusi, lengo likiwa ni kuibana isiweze kuuza bidhaa zake kama mafuta na gesi katika soko la Ulaya na kwingineko. Urusi ni…

Watu wasilazimishwe kulala mapema

Nianze kwa kumpongeza kiongozi wetu Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kutimiza mwaka mmoja madarakani. Mwaka mmoja ni muda mfupi, lakini kiongozi wetu amethibitisha nia yake njema ya kuwa na Tanzania yenye…

UJUMBE WA KWARESMA – (2)                                                            ‘Tunawasihi kwa jina lake Yesu  Kristo, mpatanishwe na Mungu’

Hii ni sehemu ya pili ya Ujumbe wa Kwaresma kwa mwaka 2022 kama ulivyotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC). Tuendelee… Agano Jipya 9. Kwa njia ya dhambi binadamu anatengeneza uadui na  Mungu. Anatengwa na Mungu na anakuwa chini ya…

Kwa nini Katiba mpya ni muhimu

Morogoro Na Everest Mnyele Katiba tuliyonayo sasa pamoja na marekebisho yake, ni ya mwaka 1977. Katiba hii ni matokeo ya kuundwa kwa chama kimoja cha siasa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Februari 5, 1977.  Katika hali ya kawaida, Katiba iliyopo pamoja…

Elimu ardhi mgogoro wa Makonda, Gharib

Bashir  Yakub Kwanza; ukinunua ardhi (nyumba, kiwanja, shamba) hakikisha unafanya ‘transfer’ (kuhamisha umiliki kutoka aliyekuuzia kwenda jina lako, mnunuzi) mara moja kadiri uwezavyo. Wengi mkinunua kwa sababu hakuna anayekulazimisha kufanya ‘transfer’ kwa haraka, basi mkishakabidhiwa hati na mikataba ya mauziano…

Hotuba ya Dk. Mwinyi kwa wahariri

Ifuatayo ni hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Sita wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), aliyoitoa kwenye Ukumbi wa Idris Abdul Wakil, Zanzibar,…