Category: Makala
Ngeleja; Kichwa kilichojificha nyuma ya tambo za Kikwete
“Natamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini…Nimeongoza nchi maskini, lakini nataka mrithi wangu kuongoza nchi yenye ustawi na utajiri” yalikuwa ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa Agosti 5, 2014 alipozungumza kwenye Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo mjini Washington, D.C., Marekani.
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Habari mpya
- ‘Serikali Zanzibar inawalea watoto wanaotupwa au kutelekezwa ili kupata haki zao’
- Bilioni 13.46 kuleta mageuzi ya kilimo cha umwagiliaji Mangalali
- CCM yaonya wanaomwaga pesa kusaka udiwani, ubunge
- Bandari ya Dar yapewa hongera
- Hakutakuwa na kuvunjika kwa amani Dar es Salaam – Chalamila
- Serikali kuondoa kilio cha mafuriko Jangwani
- Wastafu soko la Kariakoo kulipwa milioni 306
- Tutazuia mazao ya Afrika Kusini, Malawi – Serikali
- Dk Biteko ashiriki mkutano wa EAPP nchino Uganda
- Madiwani Kibondo waridhia utekelezaji mradi wa umwagiliaji Lumpungu
- Polisi yapiga ‘stop’ mikusanyiko Kisutu Lissu atakapofikishwa mahakamani
- Wasira ampa majibu mfuasi CHADEMA aliyeomba CCM, Serikali imsamehe Lissu
- Tanzania yachangia bil.1.6/- kongamano la eLearning Africa
- RC Makonda aipongeza timu ya ‘Safari Field Challenge’
- Watu 50 wapoteza maisha DR Congo
Copyright 2024