Category: Makala
Watoto wa marehemu (mke/mme) hugawanaje mirathi?
Mara nyingi nimeandika kuhusu mirathi, lakini zaidi nimegusia habari ya usimamizi wa mirathi. Leo nimeona ni muhimu kueleza mgawo wa mirathi kwa kuangalia nani anapata nini kupitia sheria ya mirathi ya Serikali. Mgawo ukoje ikiwa mume amefariki? Kama mume amefariki…
Wapigakura Rais safi tunamjua
Wiki iliyopita katika Safu hii ya Fasihi Fasaha, nilizungumzia kupata rais safi inawezekana Watanzania watapotimiza wajibu wao. Nilikusudia kuzungumza na Watanzania ambao ndiyo wapigakura wenye uamuzi wa kupata rais safi. Makala ile imechangiwa na wasomaji wengi wakiunga mkono na kuhoji…
NGOs za wanafiki na ziwatetee Wakenya hawa!
Asasi za kiraia (NGOs) zinazojihusisha na masuala ya wafugaji katika Wilaya ya Ngorongoro, hasa Loliondo, zinajua kwamba uhuni na ghiliba zake sasa zinaelekea ukingoni. Kwa miaka mingi zimetumia umaskini wa ndugu zetu Wamaasai kama kitegauchumi kikuu cha kuomba na kupokea…
Tukionee fahari Kiswahili (2)
Ilipokuja Awamu ya Pili ya Mzee Ruksa (Ali Hassan Mwinyi) mimi sioni kwa nini aliendeleza ule utamaduni wa kuongea Kiingereza katika dhifa zile za kitaifa au hata aendapo nje ya nchi yetu. Kulikuwa na ugumu gani kwa Mzee Ruksa kumwaga…
Mama akodisha baunsa kumchapa mtoto wake
NA VICTOR BARIETY, GEITA Mtoto mwenye umri wa miaka 13 amelazimika kutoroka nyumbani na kwenda kuishi kwa wasamaria wema, baada ya kulemewa na kichapo kutoka kwa mwanaume mwenye kifua na misuli mipana (baunsa). Mtoto huyo, mwanafunzi wa Darasa la Saba…
Rais ajaye na hatima ya Tanzania (1)
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mema yote anayotujaalia. Naamini kuwa ni kwa uwezo na mapenzi yake Mungu ndiyo maana tunayaweza yote tuyatendayo katika maisha yetu ya kila siku. Hivyo, ni wajibu na haki kumshukuru yeye aliye na uwezo na…