JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Serikali, TFS kuzibadili nyanda kame

*Profesa Silayo apania kurejesha uoto wa asili Kanda ya Ziwa, huku akiifanya Dodoma kuwa ya kijani MAGU Na Joe Beda Wakala wa Huduma za Misitu nchini (TFS) umedhamiria kurejesha uoto katika maeneo ya nyanda kame (dry land areas) nchini, ikiwa…

Rais apokee hizi sifa kwa hadhari 

Rais Samia Suluhu Hassan alipokuwa ziarani mkoani Mara hivi karibuni, miongoni mwa mambo aliyozungumza kwa mkazo ni suala la sifa anazomiminiwa. Kwa maneno yake mwenyewe alisema hapendi kusifiwa yeye binafsi, bali sifa hizo ziende kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho…

Ewura ilivyojipanga kutatua kero huduma ya maji 2025

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita Tanzania iliungana na dunia kuadhimisha Wiki ya Maji ambapo maadhimisho hayo yalifanyika Mkoa wa Pwani kwa uzinduzi wa mradi wa maji Mlandizi – Mboga – Chalinze huko Msoga na baadaye kitaifa Dar…

Mheshimiwa Rais tuwekeze zaidi vijijini 

DAR ES SALAAM NA DK. FELICIAN B. KILAHAMA  Ni jambo la kumshukuru Mungu aliye muweza wa yote kwa kutujalia uhai na afya njema baada ya kutimiza mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.  Akiwa Makamu wa Rais, aliapishwa…

Umuhimu wa kuwa na Katiba ya umma madhubuti

Morogoro Na Everest Mnyele  Wiki iliyopita tulizungumzia umuhimu wa kuwa na Katiba mpya ya umma. Ninajua kuwa kuna wataalamu wengi wameandika juu ya umuhimu wa kuwa na katiba thabiti ya umma.  Nia yangu ni kuendelea kusisitiza umuhimu wa kuwa na…

KARIBU MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI Funga ya Ramadhani chuo cha tabia njema

Leo Jumanne Machi 29, mwaka 2022 ni sawa na tarehe 26 Shaaban (Mwezi wa 8 kwa Kalenda ya Kiislamu inayoanza Mwezi Muharram – Mfungo Nne) Mwaka 1443 Hijiriyya (toka kuhama kwa Mtume Muhammad –Allah Amrehemu na Ampe Amani – kutoka…