JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Aibu hii Katavi ni ya kudumu?

KATAVI Na Walter Mguluchuma Ajenda ya ajira kwa watoto imekuwa ikisumbua vichwa vya wengi duniani na mara kwa mara hujadiliwa kwenye vikao vizito vya kitaifa na kimataifa. Umoja wa Mataifa (UN) unapinga ajira kwa watoto na ipo mikataba na makubaliano…

Kigugumizi cha nini Katiba mpya?

MOROGORO Na Everest Mnyele Wakati mwingine huwa ninajiuliza, nini sababu ya kigugumizi kwa Watanzania, hasa viongozi kuhusu Katiba mpya wakati rasimu tunayo?  Rasimu hiyo imetokana na mawazo au maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Warioba iliyoteuliwa na Rais wa…

Utaratibu wa kisheria kununua ardhi bila migogoro, utapeli

Na Bashir Yakub Tunazo aina kuu mbili za ardhi. Ardhi iliyosajiliwa na ambayo haikusajiliwa. Yote maana yake ni viwanja, nyumba na au mashamba. Ardhi iliyosajiliwa ni ile iliyopimwa au maarufu kama ardhi yenye hatimiliki, wakati ambayo haikusajiliwa ni kinyume cha…

Mwelekeo mpya siasa wanukia

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu    Mapendekezo ya kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa huenda yakafanikisha kuleta mwelekeo mpya wa mwenendo wa siasa za hapa nchini. Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan…

Wanaharakati Afrika wakutana  Dakar kuizungumzia Palestina

Na Nizar K Visram (Canada) Machi 10 hadi 12, mwaka huu wanaharakati kutoka nchi za Afrika wamekutana Dakar, Senegal.  Hawa ni wawakilishi wa makundi kutoka Botswana, Cameroon, Cote d’Ivoire, DR Congo, Gambia, Ghana, Guinea-Bissau, Mauritania, Morocco, Msumbiji, Namibia, Tunisia,  Zambia,…

Magufuli: Kiongozi mpenda maendeleo makubwa

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Mwaka 1995 Dk. John Pombe Magufuli aliamua kuingia katika duru za siasa na kugombea ubunge Jimbo la Biharamulo Mashariki mkoani Kagera. Agosti 23, 1995, Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ilitangaza majina…