JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

UJUMBE WA KWARESMA – (5) Papa Francis na ‘uongofu wa mazingira’

Jumapili ya wiki hii ni Sikukuu ya Kufufuka kwa Bwana Yesu Kristo; yaani Pasaka. Kwa maana hiyo leo tunawaletea sehemu ya mwisho ya mfululizo wa Ujumbe wa Kwaresma kwa mwaka 2022 kama ulivyoandaliwa na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC). SURA…

Laylatul Qadri ni siku bora katika Uislamu

Jumanne ya leo Aprili 12, 2022  ni siku ya kumi tangu kuanza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Tunamuomba Allaah Mtukufu Azikubali Swaumu zetu. Makala yetu leo inakusudia kuiangazia siku ndani ya Mwezi wa Ramadhani iitwayo ‘Laylatul Qadri’ (Usiku wa Cheo)…

Katiba thabiti huleta ustawi, furaha ya kweli

MOROGORO Na Everest Mnyele Tumekwisha kuzungumzia kwa ujumla nini maana ya katiba thabiti na inapaswa kuwa vipi. Leo tutazame umuhimu wake kwa uchumi, ustawi na furaha ya kweli kwa wananchi; furaha (ya kweli) ikiwa ndicho kipimo cha juu kabisa cha…

Rais Mwinyi kutembelea Kojani Pemba

*Aagiza Wakojani wawezeshwe  mitumbwi Uchumi wa Buluu *Ni Kisiwa chenye skuli ambayo  wanafunzi wanasoma kompyuta ZANZIBAR Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema atakitembelea Kisiwa cha Kojani, Pemba baada ya…

Dosari mojawapo Mkutano Mkuu wa CCM

Na Joe Beda Rupia Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umefanyika jijini Dodoma wiki iliyopita. Ndiyo. Hili ni miongoni mwa matukio ambayo sisi wana habari hulazimika kuyafuatilia. Ni tukio kubwa nchini kwa kuwa hukusanya watu kutoka kila pembe…

Upekee wa mwezi wa Ramadhani na fadhila zake

Leo Jumanne Aprili 05, 2022, ni tarehe 3 Ramadhani (Mwezi wa 9 kwa Kalenda ya Kiislamu inayoanza Mwezi Muharram – Mfungo Nne) Mwaka 1443 Hijiriyya (toka kuhama kwa Mtume Muhammad –Allah Amrehemu na Ampe Amani – kutoka Makkah kwenda Madinah), kwa…