JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

MIAKA 58 YA MUUNGANO Kero za Muungano zinavyotatuliwa

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Nchi za Afrika zilianza kuvamiwa na kutawaliwa na mataifa makubwa ya Ulaya baada ya kumalizika kwa mkutano wa Berlin maarufu kwa jina la Kiingereza kama ‘Berlin Conference 1884/85’, uliokuwa na ajenda ya kugawana…

Utoro shuleni bado tatizo

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Msingi mkubwa wa maendeleo, pamoja na mambo mengine, ni elimu bora inayotolewa kwa wananchi. Hakuna nchi duniani iliyofanikiwa kupiga hatua kubwa kimaendeleo bila kuweka nguvu katika elimu, hasa elimu ya wote – ya awali. Elimu…

Flora agusa mamia kwa Fariji Initiatives

DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Miongoni mwa waimbaji wa Injili wenye mafanikio nchini ni Madam Flora ambaye kwa kupitia nyimbo zake amefanikiwa kubadilisha maisha ya wengi kupitia muziki. Baada ya kugusa mamilioni ya watu kupitia muziki sasa amekuja kivingine…

Hofu Vita ya Tatu ya Dunia 

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Ipo hofu ya kuzuka kwa vita ya tatu ya dunia, hali hiyo ikichochewa na matamshi ya Rais Joe Biden wa Marekani na matendo ya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya dhidi ya Urusi, hasa…

Biashara bila hofu ya Urusi, Ukraine

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Watu wengi husita au hushindwa kuingia katika biashara wakitishwa na hatua zinazofahamika katika kuanzisha biashara husika, mbali na hofu iliyozuka kwa sasa ya vita kati ya Urusi na Ukraine. Hatua hizo ambazo ni sawa…

Ijue tofauti ya wakili, mwanasheria

Na Bashir Yakub Kila wakili ni mwanasheria, lakini si kila mwanasheria ni wakili.  Wakili ni zaidi ya mwanasheria. Ili uwe wakili unaanza kuwa mwanasheria.  Mwanasheria ni mtu yeyote aliyesoma kozi ya sheria katika chuo kinachotambulika na kuhitimu, kufaulu na kupata…