Category: Makala
Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani
Kwako Mheshimiwa Hamad Yusuf Masauni (MB) Waziri wa Mambo ya Ndani. Pole kwa kazi na ninakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwanza ninakupongeza kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kukuamini na kukuteua kuwa msaidizi wake kuongoza wizara…
Ofisi ya TPA Uganda kuanza kutoa huduma hivi karibuni
KAMPALA Na Mwandishi Maalumu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inaitazama Uganda kama fursa muhimu ya kiuchumi kwa Tanzania kupitia huduma za bandari. Akizungumza mjini hapa wiki iliyopita akiwa na maofisa waandamizi wa mamlaka hiyo waliokuwa katika msafara wa…
‘Sulfur’ mbovu hatarini kusambazwa
*Ni tani 70,000 zilizokamatwa na kuthibitishwa ni feki *Bodi ya Korosho yazirejesha kwa mzabuni zipelekwe kwa wakulima *Mkurugenzi Mkuu CBT azungumza, asema zimejadiliwa Dodoma Dar es Salaam Na Alex Kazenga Takriban tani 70,000 za viuatilifu aina ya ‘sulfur’ zilizokamatwa mkoani…
Bunge linaweza kunusuru ugumu wa maisha
Leo Bunge linatarajiwa kupokea tamko la serikali kuhusu bei ya nishati ya mafuta ya petroli ambayo kupanda kwake kumesababisha mfumko mkubwa wa bei kuwahi kulikumba taifa na hata dunia katika siku za karibuni. Uamuzi uliochukuliwa na Bunge wiki iliyopita kujadili…
NATO: Chombo cha Marekani, kutekeleza sera zake duniani
Na Nizar K Visram NATO ni muungano wa kijeshi wa mataifa ya Ulaya na Marekani ulioundwa kwa madhumuni ya kulindana iwapo taifa moja litashambuliwa kutoka nje. Uliasisiwa chini ya mkataba wa Washington uliosainiwa na mataifa 12 Aprili 1949. Mataifa yenyewe…
Jbwai wa Canada azungumzia ‘Certified’
DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Bara la Afrika halijawahi kukaukiwa na vijana wenye vipaji wanaofanya shughuli za usanii na sanaa ndani na nje ya bara hili, huku wakifikia hatua mbalimbali za mafanikio. Miongoni mwa vijana hao ni Michael Baiye,…