JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Rais Samia analiunganisha tena taifa

Na Deodatus Balile Leo naomba nianze makala yangu kwa kumnukuu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, katika kauli aliyoitoa baada ya tukio la Septemba 7, 2017 alipopigwa risasi 16, na baadaye akawa kwenye matibabu nje…

Mabilionea wa kimataifa wafaidika na vita 

Na Nizar K Visram Vyombo vya habari vimechangamka kutupatia habari za vita ya Ukraine. Hata hivyo, ni nadra kwao kutueleza jinsi matajiri wa kimataifa wanavyotajirika zaidi kutokana na vita hii. Jinsi kampuni zinazotengeneza na kuuza silaha zinavyofurahia na kuishangilia vita…

Kwa nini kigugumizi Ngorongoro, Loliondo?

Hivi karibuni kumezinduliwa sinema ya Tanzania Royal Tour. Ni sinema nzuri ingawa dosari kubwa niliyoiona ni kukosekana kwa vivutio vya utalii vingi zaidi. Mathalani, ni dosari kubwa ya kiufundi kwenye sinema hiyo kutoonyesha nyumbu wanavyosafiri au wakati wakiwa wamejaa na…

Tunajifunza nini kutoka Chadema?

MOROGORO Na Everest Mnyele Wiki iliyopita Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewafuta rasmi uanachama wabunge 19 wa Viti Maalumu.Hebu kwanza tujifunze maana ya chama cha siasa. Kwa lugha rahisi, chama cha siasa ni muungano wa watu wenye itikadi moja…

Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani

Kwako Mheshimiwa Hamad Yusuf Masauni (MB) Waziri wa Mambo ya Ndani. Pole kwa kazi na ninakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.  Kwanza ninakupongeza kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kukuamini na kukuteua kuwa msaidizi wake kuongoza wizara…

Ofisi ya TPA Uganda kuanza  kutoa huduma hivi karibuni

KAMPALA Na Mwandishi Maalumu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inaitazama Uganda kama fursa muhimu ya kiuchumi kwa Tanzania kupitia huduma za bandari. Akizungumza mjini hapa wiki iliyopita akiwa na maofisa waandamizi wa mamlaka hiyo waliokuwa katika msafara wa…