Category: Makala
Lumumba azikwa kishujaa baada ya miaka 61
Na Nizar K Visram Hatimaye wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamemzika rasmi Waziri Mkuu wao wa kwanza, Patrice Lumumba, aliyeuawa mwaka 1961. Wakoloni na vibaraka wao walimuua kisha wakakatakata mwili wake na kuuyeyusha katika tindikali. Kilichobaki ni…
Ngorongoro na Loliondo: Kuna uchochezi na ya kujifunza
DAR ES SALAAM NA THEONESTINA KAIZA-BOSHE Katika mpango wa kuwahamisha wafugaji na mifugo yao kwa hiari kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCA) kwenda Kijiji cha wafugaji Msomera, Handeni mkoani Tanga, serikali imefanya tukio kubwa la kipekee na la kihistoria. …
Miaka 30, Rais Samia amefungua milango
Na Deodatus Balile, Dar es Salaam Julai 1, 2022 Tanzania imetimiza miaka 30 tangu mfumo wa siasa za vyama vingi urejee hapa nchini. Wakati mfumo huu ukirejea mwaka 1992, ilikuwapo hofu kubwa katika sehemu mbalimbali za nchi hii. Wengi walivihusisha…
MIAKA 30 YA VYAMA VINGI: Changamoto na mustakabali kusonga mbele
DAR ES SALAAM Na Samia Suluhu Hassan Leo Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi. Katika kipindi hicho taifa letu limepita katika kipindi cha furaha, majonzi, misukusuko na changamoto zote wakati taifa linapoanza…
‘Ni bajeti ya neema kwa wananchi’
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati mwaka mpya wa kiserikali, maarufu kama mwaka mpya wa fedha ukianza, Watanzania wanapeleka matumaini yao katika utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/23. Julai ya kila mwaka huwa ndio…
NHC yaendelea kunawiri kwa ukwasi
*Mtaji wake sasa wagonga shilingi trilioni 5.4 *Ndilo shirika la umma tajiri zaidi kwa sasa *UN-HABITAT watoa mkopo nyumba nafuu *Warejesha ofisi zao zilizofungwa Tanzania Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ambalo ndilo shirika la umma mama hapa nchini, thamani…