Category: Makala
Maisha bila maadui hayana maana (2)
Kutokusamehe kunaweza kukuangamiza wewe binafsi; kucheua ubaya uliotendewa, kulea uchungu, ni kudonoa kwenye donda lililo wazi na kukataa kuliruhusu lipone. Kuendelea kwetu kucheua kukwazika, kubaki kwetu katika uchungu nafsini mwetu, mawazo yaliyojaa chuki, kutaka kwetu kulipa kisasi, hakumuumizi kabisa mtu…
Mikiki ya Chuo Kikuu Huria
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Elifas Bisanda, amezungumza na Gazeti la JAMHURI kuhusu historia, mafanikio, changamoto na hatima ya chuo hicho. Mwandishi MANYERERE JACKTON, aliyezungumza naye, analeta maelezo ya Profesa Bisanda neno kwa neno. Endelea……
Jifunze kufikiri
Kuna wakati utahitaji kutumia akili za ziada zaidi ya kutumia akili za darasani. Ni watu wachache mno ambao wana uwezo huo. Tunaweza kusema watu hawa ni watu “waliojiongeza” kiakili. Watu wa namna hii ni watu wanaofikiri. “Palipo na mafanikio: Watu…
Tumejipanga kuvuka nje ya mipaka
Mwezi huu, Novemba 5, 2018 Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Magufuli ilitimiza miaka mitatu madarakani. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Sam Kamanga, amesema Rais Magufuli amesaidia kufufua shirika hilo. Katika mahojiano na JAMHURI,…
Ngorongoro: Haijapata kutokea
MAELEZO YA MHIFADHI MKUU NCAA, DK. FREDY MANONGI Ngorongoro ya miaka mitatu Ukiangalia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na eneo lenyewe kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita, mabadiliko yaliyoonekana ni makubwa kuliko kipindi chote eneo hili lilipoanzishwa mwaka 1959. Mabadiliko…
Rais Magufuli ameimarisha Bandari – Kakoko (2)
Wiki iliyopita makala hii iliishia katika eneo ambalo Mkurugenzi Mkuu, Injinia Deusdedith Kakoko, alisema kila mkurugenzi na meneja wa ngazi yoyote anayefanya kazi Bandari amepewa malengo ya kutimiza. Lengo kuu ni kukusanya Sh trilioni 1 katika mwaka huu wa fedha….