JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Wavamizi hawa si wa kuchekewa

Nimesoma tamko la serikali linalohusu uamuzi ‘mgumu’ ilioamua kuuchukua dhidi ya wavamizi wa hifadhi mkoani Kigoma. Tathmini iliyofanyika mkoani humo imeonyesha hifadhi za misitu na mapori ya akiba yamevamiwa kwa shughuli za kilimo, ufugaji, ukataji miti na baadhi ya vijiji…

Buriani mwaka 2018, karibu mwaka 2019

Namshukuru Mwenyezi Mungu kunijalia na kuniwezesha kuuona na kuukaribisha mwaka mpya 2019 na kunipa uwezo kutamka buriani mwaka 2018. Mwaka ambao kwangu na kwa nchi yetu Tanzania ulikuwa ni mwaka wa mafanikio. Nina wajibu tena na tena kutoa shukrani kwa…

Yah: Utabiri wangu haukomi, natabiri tena 

Nianze kwa salamu za mwaka mpya kwa wasomaji wetu wote, najua tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kutuvusha mwaka huu, mwaka jana ulikuwa na mambo yake, yapo yaliyokuwa ya heri kwetu na yapo ambayo kwa kweli yalizikera nafsi zetu, lakini…

Tabuley, Pepe Kalle Wakumbukwa Kongo 

Desemba mwaka jana baadhi ya wapenzi na mashabiki wa wanamuziki Tabu Ley na Pepe Kalle walifanya kumbukizi ya wanamuziki hao.  Ikumbukwe kuwa kifo cha Pepe Kalle kilitokea Novemba, 1998 wakati Tabu Ley alifariki dunia Desemba 2013, kutokana na mshtuko wa…

Maeneo matatu pesa ilikojificha (1)

Pesa imejificha katika maeneo makuu matatu. Sehemu ya kwanza pesa ilikojificha ni katika uhitaji.Biashara yoyote kubwa yenye mafanikio ni biashara inayotoa suluhu kwa mahitaji yanayohitajika katika jamii. Ukiweza kutatua uhitaji wa watu kwenye jamii yako au kutatua matatizo ya watu…

Ndugu Rais naiona kesho yangu

Ndugu Rais, naiona kesho yetu iliyopangwa na Baba. Kesho ya heshima iliyopangwa na Baba. Kesho ya neema, kesho yetu ya ushindi liyopangwa na Mungu. Sitaki kuitazama leo yetu. Leo yetu ni ya shida. Kuna majira hufika mambo yakawa magumu. Hata…