Category: Makala
Ndalichako:Rais Samia amedhamiria kutatua changamoto za wafanyakazi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imedhamiria kutatua changamoto za wafanyakazi ili kuboresha…
Mnyika:Mfumo wa vyama vingi ulitolewa kama zawadi na CCM
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha (CHADEMA), John Mnyika amewataka Watanzania kuendelea kupigania katiba mpya kwa sababu ndiyo mkombozi. Hayo ameyasema jijini Dar es Salaam wakati wa kongamano la maadhimisho ya siku ya…
SIKU YA DEMOKRASIA DUNIANI
‘Tusubiri maoni,mapendezo juu ya marekebisho ya Sheria na Kanuni’ Na Rais Samia Suluhu Hassan Mwaka 2007, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulifanya uamuzi wa kuzitaka nchi duniani kuadhimisha siku ya Demokrasia kila ifikapo tarehe 15 Septemba, ya kila mwaka….
Serikali yatangaza mlipuko wa surua,wagonjwa 54 wathibitika
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Wa Afya Ummy Mwalimu, amethibitisha kuibuka kwa ugonjwa wa surua lubela nchini na kubainisha kuwa mpaka sasa wataalamu wamebaini wagonjwa 54 kutoka mikoa mbalimbali. Hayo ameyasema leo Septemba 15,2022 jijini Dodoma, wakati akizungumza na waandishi wa…
Jamii yatakiwa kuondokana na imani potofu juu ya kifua kikuu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeendelea na zoezi la uhamasishaji wananchi juu ya upimaji wa kifua kikuu ili kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huo hasa kwa watoto wadogo walio na umri chini ya miaka mitano. Akizungumza katika mkutano…
Waziri Mkuu wasaidie watoto hawa
*Wanatembea kilometa 24 kila siku Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Nimekuwa na utaratibu za kuzuru maeneo mbalimbali vijijini. Katika pitapita zangu wiki iliyopita nilifika katika eneo ambalo mikoa mitatu ya Manyara, Morogoro na Tanga inapakana. Wilaya zinazokutana hapa ni Kiteto (Manyara), Gairo…