JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Ndugu Rais tuonyeshwe wanao busara ni kitu gani!

Ndugu Rais, Mwenyezi Mungu alipomuumba Julius Kambarage Nyerere katika nchi hii hakumuumba peke yake. Aliwaumba wengi wenye busara kama za Nyerere. Ni kipi baba kinawafanya watu wako wasione kama huwatumii wanawema hawa wengi uliopewa na Muumba wako? Hii ni kasoro…

Vijana ni ‘bomu’ linalohitaji kuteguliwa

Nimewahi kuandika makala kwenye safu hii nikifafanua baadhi ya faida ya taifa lolote kuwa na vijana wengi zaidi ya wazee. Bara la Afrika lina wakazi wenye wastani mdogo zaidi wa umri kuliko mabara mengine yote; Niger ikiwa nchi inayoongoza Afrika…

Ni kosa kisheria kudhihaki maiti

Nimeulizwa na watu wengi ikiwa agizo la Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, kuhusu kumtia mbaroni mara moja Dudubaya kwa maneno yake dhidi ya marehemu Ruge Mutahaba ikiwa ni sawa kisheria au si sawa. Ninaweka majibu…

MAISHA NI MTIHANI (19)

Kujipenda ni mtihani si ubinafsi, kujipenda si uchoyo, wala si kujipendelea, maana huwezi kumpenda mtu kama hujipendi. Kujipenda ni kujikubali, kujithamini na kujitambua. Ushahidi kuwa watu wengi hawajipendi umejaa kama hewa, mtu anaweka vikombe vizuri vya chai kwa ajili ya…

Demokrasia Tanzania imetundikwa msalabani (3)

Wiki iliyopita makala hii iliishia pale ilipokuwa inasema baadhi ya waandishi wameamua kuisifia serikali tu. Hapana, hii si Tanzania tunayotakiwa kuijenga. Nchi ya waoga wa kuthubutu, nchi ya wanafiki, nchi ya kujipendekeza kwa watawala. Mungu alipompa malaika Lucifer cheo cha…

Tusishangilie kuua upinzani

Nichukue fursa hii kuwapa pole ndugu, jamaa na marafiki wa Ruge Mutahaba, pamoja na Watanzania wote walionufaishwa na kipawa cha mzalendo huyu. Umati wa watu waliojitokeza na wanaoendelea kujitokeza kumlilia Ruge unadhihirisha wazi aina au muundo wa kibinadamu wa Ruge….