JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

TIC, halmashauri kuvutia wawekezaji

Utekelezaji wa sera ya taifa inayoelekeza halmashauri zote nchini kutenga rasmi maeneo maalumu ya ardhi kwa ajili ya uwekezaji katika kila halmashauri nchini bado unasuasua na kusababisha kero kwa wawekezaji wa nje na ndani. Sera hii ilikusudia kurahisisha upatikanaji wa…

Maswali ni mengi hukumu ya kifo kwa Mwalimu Respicius

Siku niliposikia Mahakama Kuu (Bukoba) imetoa hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa Mwalimu Respicius Patrick kwa kosa la kumuua mwanafunzi wa Shule ya Msingi Kibeta, Sperius Eradius, niliduwaa. Katika kuduwaa, nilianza kutafakari juu ya ndoto yangu hii ya kuwa mwalimu…

Ndugu Rais, kati ya nguo na pasi kipi kinapigwa pasi?

Ndugu Rais, tunasoma katika kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu kuwa: “Wananchi wanataka rais awathamini raia waandamizi waliokamilisha wajibu wao na kustaafu katika ujenzi wa taifa ili wasipate shida katika wakati wao wa kutokuwa na nguvu za kuendelea kujikimu. Hivi…

Wanasiasa si wenzetu

Wanasiasa siyo wenzetu kwa maana nyingi tu, na siyo kwa sababu tu ya kuitwa waheshimiwa. Kwanza, ni watu wenye kujiamini, wenye imani inayoambatana na uwezo mkubwa wa kusikia maoni tofauti kabisa na ya kwao, lakini wakaendelea kushikilia msimamo kuwa wanachofanya…

Epuka kuishi maisha ya majivuno

Majivuno yaliwabadili malaika wakawa mashetani. Unyenyekevu huwafanya watu wawe kama malaika – Mt. Augustino. Kitendawili: Tega! ‘Ananifanya nichukiwe na kila mtu’. Jibu ni ‘majivuno’. Kitendawili: Tega! ‘Nikimmeza najisikia sana’. Jibu ni ‘majivuno’. Majivuno ni jeraha lisiloponyeka katika maisha. Majivuno ni…

MAISHA NI MTIHANI (23)

Kataa kujikataa Kukataa kujikataa ni mtihani. Kujikataa ni kujihisi wewe si mtu muhimu. Ukweli wewe ni mtu muhimu. “Kukosa kitu cha kukufanya ujisikie wewe ni mtu muhimu ni jambo liletalo huzuni mkubwa sana, ambalo mtu anaweza kuwa nalo,” alisema Arthur…