JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Lo! Misafara ya wakubwa

Mpita Njia (MN) wiki iliyopita akiwa mdau muhimu wa masuala ya habari nchini aliungana na waandishi wa habari katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Habari Duniani. MN amesikia mengi katika maadhimisho hayo. Amesikia vilio vya wanahabari wanaoendelea…

Matajiri wengine waige mfano wa Dk. Mengi

Reginald Mengi, mmoja wa wafanyabiashara wachache wanaotajwa kuwa na moyo wa kuwasaidia binadamu wenzao, hatunaye tena duniani. Tangu taarifa za kifo chake zianze kusambaa wiki iliyopita, mamia kwa maelfu ya waombolezaji – ndani na nje ya nchi – wamejitokeza kutoa…

NINA NDOTO (17)

Msamaha si kwa ajili yako bali kwa wengine   Unapokosewa kuwa tayari kutoa msamaha kwa anayekukosea, unapokosa omba msamaha pia. Kusamehe ni jambo lililowashinda watu wengi, ukijenga tabia ya kusamehe wanaokukosea utakuwa umejiondoa katika kundi la wengi. Usiposamehe siku zote…

Sheria ni kama silaha, itumike kwa uangalifu

Katika sifa nyingi zinazohitajika kuwa polisi, sifa moja ambayo haitajwi ni imani ya polisi kuwa kila binadamu ana uwezo wa kuvunja sheria na iwapo bado hajavunja sheria kuna siku atafanya hivyo. Ni sifa inayofanya polisi kuamini kuwa kila raia anayekutana…

Utaratibu wa kuajiri watoto wadogo

Mtu aliye chini ya umri wa miaka 18 ni mtoto. Kisheria si kosa kumwajiri mtoto. Nataka tuelewane vizuri katika hili. Tunatakiwa kuifahamu sheria. Wengi wanadhani ni kosa kumwajiri mtoto. Wanaposikia kampeni za ajira kwa watoto wanadhani ni kosa na haramu…

Mwalimu Nyerere angekuwepo angesemaje?

Namshukuru Mungu nimeweza kuketi kuandika kumkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kipindi hiki cha kumbukizi ya kuzaliwa kwake na kujiuliza swali ambalo bila shaka Watanzania wengine nao wamekuwa wakijiuliza: Mwalimu angekuwapo akaona utendaji wa Rais John Pombe…