JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

TANROADS: Kichocheo cha uchumi mkoani Songwe

Mpaka wa Tunduma unaounganisha mataifa ya Tanzama na Zambia ndio wenye pilikapilika nyingi kati ya mipaka yotenchini.  Hii inatokana na ukweli kuwa mpaka huu ndio unaopitisha asilimia kubwa yaa shehena inayoshushwa katika Bandari ya Dar es Salaam kwenda mataita ya…

Serikali kuwajengea uwezo wataalamu wa nusu kaputi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema, Wizara ya Afya kwa kushirikiana na vyama vya kitaaluma inatekeleza Mkakati wa kuwajengea uwezo watumishi wa vituo vya huduma za Afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi hospitali za Taifa…

Serikali yachukua tahadhari kujikinga na Ebola

Serikali imesema mtazamo wa nchi ni kuhakikisha ugonjwa wa Ebola uliopo nchi jirani ya Uganda hauingii nchini Tanzania. Kauli hiyo imebainishwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu wakati akiwa ziarani mkoani Kagera kuangalia utayari wa mkoa huo kukabiliana…

Halotel yaongoza kwa intaneti yenye spidi nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imeshika usukani mara ya tatu kwa kuwa na huduma ya intaneti yenye spidi ya kasi zaidi ukiliganisha na kampuni nyingine zinazotoa huduma. Kwa mujibu wa ripoti ya robo ya…

Kinana: Maalim Seif alikuwa na maono, msimamo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amedhamiria kuleta maridhiano na mageuzi ya uendeshaji wa siasa nchini. Kinana ameyasema…

Rostam:Tanzania,Zanzibar zitanufaika na mitaji inayotoka nje

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mfanyabiashara na mbunge wa zamani wa Jimbo la Igunga mkoani, Tabora Rostam Aziz,amesema kuwa elimu na ujuzi itasaidia kujenga mitaji wa umma wa ndani ili kuwezesha wananchi wa Rais wa Tanzania na Rais Zanzibar na wananchi kufaidika…