JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Halotel yaongoza kwa intaneti yenye spidi nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imeshika usukani mara ya tatu kwa kuwa na huduma ya intaneti yenye spidi ya kasi zaidi ukiliganisha na kampuni nyingine zinazotoa huduma. Kwa mujibu wa ripoti ya robo ya…

Kinana: Maalim Seif alikuwa na maono, msimamo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amedhamiria kuleta maridhiano na mageuzi ya uendeshaji wa siasa nchini. Kinana ameyasema…

Rostam:Tanzania,Zanzibar zitanufaika na mitaji inayotoka nje

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mfanyabiashara na mbunge wa zamani wa Jimbo la Igunga mkoani, Tabora Rostam Aziz,amesema kuwa elimu na ujuzi itasaidia kujenga mitaji wa umma wa ndani ili kuwezesha wananchi wa Rais wa Tanzania na Rais Zanzibar na wananchi kufaidika…

Chongolo: Rushwa bado changamoto kwenye chaguzi za CCM

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Katibu Mku wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewataka makatibu wa chama hicho kuanzia ngazi ya tawi hadi mkoa kuhakikisha wanasimamia vizuri mali za chama ili kukifanya chama hicho kuwa na maendeleo endelevu. Chongolo ametoa agizo…

Serikali yapaisha ustawi wa watu wasioona nchini

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefanikiwa kuwawezesha Watu wasioona hususan katika eneo la Ajira, Michezo na TEHAMA. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (kazi, Ajira, Vijana na Wenye…