Category: Makala
Mafanikio katika akili yangu (2)
Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Kila siku Noel alikuwa anaitwa ofisini kwa mhasibu, kusoma kwake kulikuwa kwa shaka, hakuwa na furaha. Aliishi kwa wasiwasi muda wote alipokuwa shuleni. ‘Nitafanyaje, nitafanyaje?’ ndilo lilikuwa swali lake kila mara kijana Noel….
NINA NDOTO (35)
Imesemwa mara nyingi kwamba afya ni mtaji. Unapokuwa na ndoto kuwa na afya njema ni jambo la tija sana. Usipokuwa na afya njema mara nyingi utatumia muda mrefu kuboresha afya yako kuliko kufanyia kazi zako. Ndoto huhitaji mtu…
TPA: Bandari Ziwa Nyasa chachu ya maendeleo Kusini
Katika makala ya leo tutaona jinsi Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) jinsi inavyoweka mazingira wezeshi kibiashara na kuboresha…
Luwongo alilia hati ya mashitaka
Khamisi Luwongo (Meshack) mwenye umri wa miaka 38, mtuhumiwa wa mauaji ya kuua na kumchoma moto mke wake, Naomi Marijani, ameendelea kufanya vituko mahakamani. Vituko hivyo vilianza baada ya Wakili wa Serikali, Simon Wakyo, kuiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,…
Tuache unafiki kuhusu haki za wanawake
Kumbe muda wote nilikuwa sikielewi kile kinachoongelewa kuhusu haki za kina mama, nimekuwa nikijiuliza ni kitu gani kinachoitwa haki za wanawake? Muda wote nimejiuliza ni haki gani zinazodaiwa na wanawake? Sikupata jibu! Sababu niliamini kwamba wanawake wanapata haki zao kulingana na…
Haijapata kutokea!
Ule usemi kuwa ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni nadhani una mantiki. Duniani mishangao inatokea kila leo. Nani alifikiria mwanasiasa kama Nape Nnauye atakuja kuomba msamaha? Kwa kosa lipi? Na kwa dhamira gani? Mimi nilipigwa butwaa pale jioni Jumanne ya…