JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Kupanga ni kuchagua (2)

Toleo lililopita tuliishia aya isemayo: “Mwenyezi Mungu hakukuumba kwa bahati mbaya, kwa Mungu hakuna bahati mbaya, Mungu hana bahati na sibu.” Sasa endelea… Mfalme Daudi alimtukuza Mungu kwa kusema: “Ninakusifu (Mungu) kwa kuwa nimeumbwa kwa namna ya ajabu, ya kutisha’’…

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (2)

Weka pamba masikioni usisikilize maneno yanayoua mawazo mapya Mawazo ni muhimu katika kupanga. “Kupata wazo jipya lazima kuwe kama kukalia pini; lazima likufanye uruke na kufanya kitu fulani,” alisema E. L. Simpson. Jambo kubwa linaanza likiwa wazo dogo. Jogoo wanaowika…

Tusiache viwanja vya Jangwani vitoweke

Uwanja wa Jangwani jijini Dar es Salaam umebeba historia muhimu katika taifa letu. Mikutano kadhaa kipindi kile cha harakati za kudai Uhuru ilifanyika hapo. Jangwani imeendelea kujizoea umaarufu hata baada ya Uhuru. Mikutano mingi mikubwa imeendeshwa Jangwani. Mikutano ya kisiasa…

Tuwe macho katika uchumi wetu 

Kuna njama za kuhujumu utu wa mtu na uchumi wa Mkoa wa Morogoro. Njama ambazo zinatekelezwa usiku na mchana na baadhi ya watumishi wa umma wakishirikiana na vibeberu uchwara waliomo mkoani humo.  Mkoa wa Morogoro una ardhi ya rutuba kwa…

Yah: Urasimu kwa wasomi ni pigo

Kwanza napenda kuwashukuru wote waliotupatia pole ya msiba wa kijana aliyetoweka katika ulimwengu wa habari, mwenye nguvu ya kazi na mweledi wa kile alichokuwa akifanya. Mwenyezi Mungu alimpenda zaidi na hatuna namna nyingine zaidi ya kushukuru kwa kila jambo.  Katika…

Mafanikio katika akili yangu (3)

Toleo lililopita katika sehemu ya pili tuliishia aya isemayo: “‘Dah! Biashara hii sasa mbona inaendelea kufilisika?’ aliwaza kichwa kikawa na msongo wa mawazo. Siku hiyo ilikuwa ngumu kwa Mama Noel kutengeneza pombe nyingine, kwa kuwa hakuwa na pesa hata senti moja….