JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah: Naanza kuandika historia ya maisha yangu (2)

Historia yangu inakwenda mpaka nilipoanza kuaminiwa kusoma na kuandika katika madaftari na vitabu vikubwa kama mkeka.  Nilivipenda vitabu kwa hadithi zake na kuandika kwa kuchora vizuri na kusifiwa na masista ambao walikuwa walimu wangu. Ni katika kipindi hiki ndipo nilipogundua…

ISHI NDOTO YAKO (1)

Haben Girm ni mwanamke aliyezaliwa akiwa haoni wala kusikia.  Haben Girm alizaliwa katika familia maskini sana.   Haben alipozaliwa akiwa haoni wala kusikia watu walimshauri mama  yake amtupe kichakani. Mama yake alikataa  kata  kata. Mama yake alisema: “Siwezi  kumtupa  mtoto wangu kichakani kisa ni kipofu.”   Haben alikulia katika mazingira magumu…

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (8)

Panga kuvunja rekodi  Kuna baadhi ya watu wanapopata matatizo wanavunjika moyo, wengine wanavunja rekodi. Kuwa na maono ya kuvunja rekodi katika eneo ulipo. Hakikisha viwango na masharti vinazingatiwa. Matendo yawe yanayokubalika kisheria na ni mema.   Jiwekee viwango ambavyo vitakusaidia katika…

Ubalozi wa China chachu ya maendeleo ya elimu nchini

Ubalozi wa China nchini Tanzania umeendelea kutoa msaada kwenye maendeleo ya elimu nchini ikiwa ni pamoja na kuchangia ujenzi wa shule na kutoa elimu ya lugha ya Kichina ambayo imekuwa ikifundishwa katika shule na vyuo mbalimbali nchini. Wiki iliyopita Ubalozi…

KIJANA WA MAARIFA (4)

Kujifunza huanza pale woga unapokufa Woga ni adui wa vingi. Woga umefanya watu wengi wafe na wazikwe wakiwa na vitu vya thamani ambavyo dunia ilihitaji kufaidika navyo lakini kilichofaidika ni udongo. Woga umezaa umaskini, woga umefanya watu wakose haki zao….

Rais mstaafu, Mtanzania hawezi kuwa mkweli

Nina shauku kubwa ya kusoma kitabu cha Rais mstaafu Benjamin William Mkapa kuhusu maisha yake kinachoitwa ‘My Life, My Purpose’ (Maisha Yangu, Kusudio Langu). Nina shauku kufahamu mtazamo wake juu ya masuala mbalimbali ya uongozi lakini nikiwa na hofu kuwa yapo mengi…