JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah : Naanza kuandika historia ya maisha yangu (5)

Nilimalizia waraka wangu wa wiki iliyopita nikielezea jinsi nilivyomuona Mwalimu akiwa amechoka katika mapambano ya kuliongoza taifa. Alichoka kwa kulipitisha taifa katika mambo mengi, lakini hapa kuna sababu kubwa ambayo ningependa Watanzania waijue vizuri. Wakati taifa hili likipata Uhuru, wasomi…

MAFANIKIO KATIKA AKILI YANGU (10)

Na Phabian Isaya Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Sasa wewe kazana, hakikisha unatengeneza wigo wa watu wengi wenye tija, alimsihi Noel katika hilo. Kadiri Noel alivyokuwa akizungumza na Profesa Alison Ziki (Mzimbabwe) katika simu, ndivyo alivyozidi kupata hamasa…

KIJANA WA MAARIFA (7)

Ukijifunza, fundisha   Kufahamu mambo bila kuifundisha familia yako ni kuiacha familia hiyo iangamie. Kufahamu mambo bila kuifundisha jamii yako ni kuiacha jamii hiyo ipotee. Kufahamu mambo bila kulifundisha taifa lako, ni kuliacha taifa hilo lipotee. Ukijifunza, fundisha. Ukifahamu mambo,…

Uamuzi wa Busara (3)

Wiki iliyopita katika kitabu hiki cha Uamuzi wa Busara, tulisoma kuhusu uamuzi wa TANU kwenda Umoja wa Mataifa (UNO). Wajumbe wa Kamati Kuu ya TANU waliandika ujumbe kwa wajumbe wa Baraza la Umoja wa Mataifa waliotumwa nchini kuja kuchunguza hali…

Gawio kwa Serikali ni msingi wa ujenzi wa nchi

DAR ES SALAAM NA JOVINA BUJULU, MAELEZO Hivi karibuni Rais John Magufuli aliwakaribisha wenyeviti wa bodi na watendaji wakuu wa taasisi mbalimbali za umma katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma kwa ajili ya kutoa mchango wao kifedha kwa serikali. Michango…

Dawati la Jinsia na Watoto Butiama lazua vigelegele, miguno

Na G. Madaraka Nyerere  Mwishoni mwa mwezi uliopita nilihudhuria ufunguzi wa jengo jipya la kituo cha Dawati la Jinsia na Watoto kwa Wilaya ya Butiama. Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro. Wengi walizungumza ingawa…