JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Amani ya nchi ni muhimu kuliko ushindi wa mtu au chama katika uchaguzi

Wakati nchi inajiandaa kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu, amani ya nchi ni jambo linalotakiwa kuangaliwa kwa umakini mkubwa.  Nchi zetu hizi zinazoitwa za dunia ya tatu, au nchi zinazoendelea, mara nyingi zimetokea kuvuruga amani yake wakati kama huu…

Uamuzi wa Busara (8)

Wiki iliyopita katika toleo hili la Uamuzi wa Busara, tulisoma jinsi wanachama wa Chama cha TANU wanavyojivunia kuimarika kwa chama chao kiasi cha kuvifanya vyama vingine vinavyokipinga kuanza kupukutika. Wiki hii ni mwendelezo wa tulipoishia. Endelea… Kutokana na uamuzi huo…

Ushauri wangu kwa Rais Magufuli

Nikiwa mwananchi ninayeipenda nchi yangu, nimeamua kuchukua muda mfupi kumshauri Rais wangu, Dk. John Magufuli, kuhusu uendeshaji wa nchi yetu.  Maana kama anavyoeleza yeye mwenyewe, urais ni kazi ngumu kupita kiasi. Kwa hiyo, kwa wananchi wazalendo wenye kuipenda nchi yao,…

Olduvai inajipanga vipi kutetea hadhi yake?

Uvumbuzi wa mabaki ya watu wa kale uliofanyika sehemu mbalimbali duniani unaweka rehani hadhi ya Bonde la Olduvai ambalo hadi hivi sasa ndilo eneo linalotambulika rasmi kama sehemu ambayo binadamu wa kwanza kabisa duniani aliishi. Licha ya kuweka rehani hadhi…

Ndugu Rais, machungu ya watu wa Mungu yauguse moyo wako

Ndugu Rais, wewe ndiye tuliyepewa uwe baba yetu sisi wote hapa nchini kwa wakati huu. Lakini baadhi yetu labda kwa kusikilizwa sana wanajiona wewe ni baba yao zaidi. Wajue wewe ni baba wa wote.  Tulikuwa pamoja sana kabla hujawa baba….

Uislamu unakataza kuwa ombaomba

Ombaomba, kwa mujibu wa fasili ya Kiswahili, ni mtu anayepata mahitaji yake kwa kuzurura mitaani na kuomba kutoka kwa wapita njia.  Ombaomba ni mtu mwenye tabia ya kuitisha usaidizi kutoka kwa wengine kila mara. Kwa ujumla, ombaomba ni mtu aliyeamua…