JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Mgonjwa wa Marburg aruhusiwa,hakuna maambukizi mapya

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wamemruhusu mgonjwa mmoja (26) kati ya wagonjwa watatu waliolazwa katika vituo maalum vilivyotengwa kwaajili ya wagonjwa wa marburg baada ya kujiridhisha na hali yake kwa kumfanyia vipimo zaidi ya mara tatu vya ugonjwa huo….

Serikali: Hakuna wagonjwa wapya wa Marburg

Na WAF –Kagera,JamhuriMedia,Bukoba Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia Machi 25,2023 hakuna wagonjwa wapya wa Marburg walioripotiwa licha ya kupokea tetesi sehemu mbalimbali mkoani hapa. Hayo ameyasema jana alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari nakusema kuwa ugonjwa huo…

Ndani ya miaka miwili ya Rais Samia,TMA ina mengi ya kujivunia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia “Nimepoteza ardhi zaidi ya nusu heka, sina makazi ya kudumu,na hivi sasa nipo na familia yangu ya watu watano, tunajihifadhi katika chumba kimoja kilichopo karibu na eneo la nyumba yangu ilipomoka” Ni kauli ya Stephen Joel…

EU yaridhishwa na utekelezaji miradi

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Umoja wa Ulaya (EU) umeridhishwa na hatua iliyofikiwa ya utekelezaji wa mradi wa kilimo wa AGRI-CONNECT inaoufadhili. Huu ni mradi ulioanzishwa mwaka 2020, unaolenga kusaidia kukuza kilimo katika mikoa sita ya Tanzania Bara na Zanzibar,…

Watano wafariki kwa virusi vya Marburg Kagera

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Watu watano wamefariki kwa ugonjwa ujulikanao kwa jina la Marburg mkoani Kagera huku watatu wakiendelea kupatiwa matibabu katika vituo maalum vilivyojengwaBukoba Vijijini mkoani Kagera. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema uchunguzi uliofanywa na maabara ya Taifa ya…

Watu 251 wapimwa viashiria vya magonjwa ya moyo Dodoma

Jumla ya watu 251 wamepata huduma ya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo pamoja na ushauri wa jinsi ya kuepukana na magonjwa hayo kutoka kwa wauguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Upimaji huo ulifanyika katika maadhimisho ya…