Category: Uchumi
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (2)
Sehemu ya kwanza, Dk. Felician Kilahama, akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCDI, anaeleza ziara yake katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’, akiwa na wajumbe wa Bodi. Pia anaeleza kuwa wafadhili kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhifadhi Viumbehai na Mimea Ofisi za Denmark na Tanzania, walikuwapo.
Mfanyabiashara afanya unyama Geita
* Akodi vijana, wavunja nyumba, watembeza mkong’oto
* Baba mwenye nyumba atekwa, atelekezwa porini
* Watu 17 wakosa makazi
Vilio, simanzi na huzuni vimetawala katika Kitongoji cha Shinde, Kijiji cha Buhalahala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita, kufuatia familia moja katika eneo hilo yenye watu 17 wakiwamo watoto wachanga, kukosa makazi baada ya makazi yao kubomolewa.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (8)
Wiki iliyopita, tuliona Dk. Khamis Zephania pamoja na mambo mengine, akizungumzia milo mbalimbali ya watu na urithi wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya nane…
Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake (Hitimisho)
Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, katika sehemu ya tatu ya makala
haya alielezea kwa kina kuhusu yasiyofunguza na adabu za funga. Sasa fuatana naye katika sehemu hii ya mwisho…
Fadhila za funga
Zimepokewa hadithi nyingi zinazoelezea fadhila za funga ya Ramadhani, miongoni mwa hizo ni zifuatazo:
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
Tunahitaji ujasiriamali wa mnyororo
Wiki iliyopita wajasiriamali wawili marafiki zangu wa muda mrefu walinitembelea ofisini, mtaa wa Uhuru, mjini Iringa na tukapata wasaa wa kuzungumza kwa kirefu kuhusu mienendo ya biashara katika mazingira ya sasa.
- ‘Hakuna mwenye uwezo wa kusamehe madeni ya kodi – CG Mwenda
- Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi – Dk Biteko
- PURA kunadi vitalu 26 vya utafutaji mafuta na gesi asilia
- Tanzania, Oman kushirikiana sekta ya maliasili na utalii
- Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba
Habari mpya
- ‘Hakuna mwenye uwezo wa kusamehe madeni ya kodi – CG Mwenda
- Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi – Dk Biteko
- PURA kunadi vitalu 26 vya utafutaji mafuta na gesi asilia
- Tanzania, Oman kushirikiana sekta ya maliasili na utalii
- Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba
- Rais ashiriki mkutano wa SADC Organ kwa njia ya mtandao, Ikulu jijini Dar es
- Rais Samia afanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO
- Makamu wa Rais afungua mkutano wa viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma kuhusu mabadiliko ya tabianchi
- Salma Kikwete : Sikupata kura za itifaki, nilipambana bila kutishika
- Mawakala wa vyama kielelezo cha uwazi uboreshaji daftari la wapiga kura
- Urusi imeshambulia Ukraine usiku kucha
- Ufaransa kuipatia Ukraine silaha za nyuklia?
- Dk Samua kuisuka upya Muhimbili kwa trilioni 1.2/-
- Macron: Enzi ya ‘unyonge wa Ulaya’ imekwisha
- BRELA yafuta usajili wa kampuni 11 za LBL