Category: Uchumi
Gesi yabadili utamaduni Mtwara
Wiki hii Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (pichani), amefanya ziara ya siku tatu mkoani Mtwara kuangalia maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi. Nimepata fursa ya kuwamo kwenye ziara hii. Nimeshuhudia mengi.
Tuwajali Mgambo
Mhariri,
Hoja yangu ni kuhusu Jeshi la Mgambo. Kauli ni jeshi la akiba. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi bila majibu, kaulimbiu ni jeshi la akiba, lakini si kweli, bali ni jeshi la kutelekezwa na kukamuliwa. Haliendani na kaulimbiu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
Tupande miti kukuza uchumi wetu (4)
Tupande miti kukuza uchumi wetu (4)
Kuna umuhimu mkubwa sana kwa sekta binafsi kupitia kampuni mbalimbali au mtu mmoja mmoja, ikiwamo wananchi walio wengi vijijini kujiwekea mipango na malengo mazuri na kuweza kupanda miti kwa wingi. Kuna mahitaji makubwa ya mazao ya misitu — nguzo, mbao, kuni na mkaa. Endelea…
Napenda kuchukua fursa hii kuwafahamisha Watanzania walio vijijini na mijini kwamba misitu ya asili katika maeneo mbalimbali nchini imeharibiwa mno (highly degraded). Isitoshe, bado kasi ya uharibifu wa misitu ya asili ni kubwa kuliko unavyodhania maana matumizi ya mashine za moto (power or chain saws) yameongezeka sana.
KONA YA AFYA
Sababu za kupungua nguvu za kiume
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana hivi leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia, ni tatizo linalowakabili wanaume wengi mno; wazee kwa vijana karibu kote duniani na hususan maeneo ya mijini zaidi.
Mwanamke anayeng’arisha viatu
Bupe Mwaipopo:
Jina la Bupe limepata umaarufu sana katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam.
- TMA yatoa matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano
- Mtoto aliyetekwa anasuliwa kwa mtekaji akiwa hai na afya njema
- Rais Dkt. Samia azindua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro
- Rais Samia : Tanzania ni msimamizi Mpango wa Nishati Safi Afrika
- TAWA na Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Morogoro
Habari mpya
- TMA yatoa matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano
- Mtoto aliyetekwa anasuliwa kwa mtekaji akiwa hai na afya njema
- Rais Dkt. Samia azindua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro
- Rais Samia : Tanzania ni msimamizi Mpango wa Nishati Safi Afrika
- TAWA na Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Morogoro
- RC Mtaka: Rais Samia ameibeba sekta ya kilimo mabegani mwake katika miaka 4 ya uongozi wake
- Rais Mwinyi : Mradi wa EACOP ni kioo cha maendeleo ya sekta ya mafuta Afrika Mashariki
- Mashambulizi ya Urusi yaua watu 25 Ukraine
- Rais Samia : Serikali ina dhamira ya kujenga Tanzania jumuishi yenye ustawi wa haki na kupinga ubaguzi
- Rais Samia: Tanzania imetekeleza malengo 17 ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
- Rais Samia akihutubia wananchi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
- Maandamano ya wanawake kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
- Rais Dk Samia akiwa kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
- Matukio mbalimbali kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
- Akamatwa kwa kung’oa bendera za CUF Kondoa