JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

Marekani inavyoipiga jeki Afrika kiuchumi

Rais wa Marekani, Barack Obama, ametembelea nchi kadhaa za Afrika wakiwamo majirani zetu, Kenya, alikohudhuria kongamano la ujasiriamali.  Ziara ya Obama imeendelea kuonesha namna Marekani inavyoweka juhudi katika kulinda maslahi ya uhusiano wa kiuchumi na kiulinzi baina yake na nchi…

Tumekosea barabara za mwendo kasi (1)

Nianze hoja yangu kwa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai na amani ndani ya mioyo yetu, na hatimaye kuweza kuyafanya mengi tuyafanyayo kila kukicha likiwamo hili la ujenzi wa barabara za kuwezesha mabasi kwenda mwendo kasi. Kwa mantiki hiyo…

Tunalindaje kampuni zetu?

Wakati fulani kule Marekani kulitokea malumbano makali baina ya kampuni mbili kubwa zenye nguvu na ushindani mkali. Kampuni zilizohusika katika sakata hili zilikuwa ni ile ya Brother na nyingine ni Smith Corona. Kampuni hizi zilijihusisha na utengenezaji wa bidhaa zinazofanana…

Tupo kwenye zama za ujasiriamali zilizoufukia ujamaa

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha mfumo wa kiuchumi wa Ujamaa na Kujitegemea miaka michache baada ya Tanganyika kujipatia uhuru wake.   Kwa kufanya hivyo alikuwa ameamua kufuata mawazo ya akina Adam Smith, David Ricardo, Milton Friedman, Fredrich Hayek, Ayn…

Je, wote tuwe wajasiriamali?

Kwenye anga za uchumi na biashara kumekuwa na changamoto inayojirudia kutoka kwa baadhi ya wasomaji kuhusu dhana ya ujasiriamali.  Licha ya wasomaji kuzikubali makala hizi, lakini wamekuwa na walakini ikiwa inawezekana Watanzania wote tukawa wajasiriamali. Nafahamu kuwa si watu wote…

Uchaguzi 2015: Uchumi wetu unahitaji uongozi wenye mtazamo ya kitajiri

Nafahamu kuwa nchi iko kwenye joto la uchaguzi na joto hilo ni kubwa ndani ya chama tawala ikilinganishwa na ilivyo nje (kwenye vyama vingine). Wasomaji mnajua kuwa safu yangu ya uchumi na biashara huwa sizungumzii siasa hata tone. Hata leo…