Category: Siasa
Wafanyakazi watishia kuisulubu CCM
Wafanyakazi mbalimbali nchini wameahidi kukisulubu Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao (2015), ikiwa Serikali haitatengua Sheria mpya ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Nyerere: Kataeni kukandamizwa
“Watanzania watakuwa ni wajinga na mataahira, kama watakubali kuendelea kukandamizwa na watu wachache katika nchi yao wenyewe….”
Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema hayo kuwahimiza Watanzania kupinga vitendo vya ukandamizaji ndani ya nchi yao.
Serikali ya CCM haiwezi kudhibiti rushwa
Mwaka huu, wakati Tanzania ikielekea kufanya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachounda Serikali, kimejidhihirisha kuwa hakina ubavu wa kudhibiti tatizo la rushwa nchini.
Wajasiriamali wanavyotawala siasa za dunia
Baada ya Japan kuibuka kwa kasi kimaendeleo, iliitamanisha sana Marekani kiasi cha kuwafanya wanauchumi wengi wa Marekani kuwa na kiu ya taifa lao kuiga mfumo wa kiuchumi wa Japan.
Utaifa hauna dini (3)
Ndiyo kusema licha ya fursa kubwa kielimu walizopata watu wa mwambao siku zile kuelimisha watoto wao, jamaa hawa Waswahili hawakuzitumia.
Hawa ndio maadui wa Uislamu Tanzania
Tunapo kuwa tunajiuliza mhemko wa udini unatoka wapi au nani wameusababisha na kuuasisi si vibaya tukajua maadui wakuu kwa upande wetu waislamu. Ukimjua adui ni rahisi kupambana naye na ni nusu ya ushindi kwenye vita ya kutafuta haki au usawa au kuondoa tunao uita unyanyasaji kwa waislamu au mfumo kristo kama wengine wanavyo penda kuita (Mimi sio muumini wa dhana ya mfumo kristo) maana nimeona wakati wote waislamu wenzangu wakishika nafasi kubwa serikalini, kwenye mashirika ya umma na hata mashirika binafsi.