JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Mradi wa Nyumba za Bei Nafuu Mchikichini Wazinduliwa

Zitauzwa kwa wananchi wa kawaida, Waziri Tibaijuka aimwagia sifa NHC Watanzania wasio na viwanja sasa hawana sababu ya kuendelea kuhangaikia changamoto hiyo kwa vile Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limeanza kujenga nyumba za kuishi kwa ajili ya kuwauzia kwa bei nafuu.

Hongera Jamhuri, mmethubutu, mmeonesha njia

 

Naanza kwa kusema chereko chereko na hongera, pia kwa kutamka ‘Congratulations and Celebrations’ kwa gazeti Jamhuri kutimiza mwaka tangu kuingia sokoni mnamo Disemba 6, 2011 hadi leo. Vilevile natoa heko kwa waandishi wa habari kuliendesha gazeti hili hadi sasa, kwa umakini na utulivu, ndani ya soko la usambazaji wa habari kwa jamii.

Labour yaanza kuchukua nchi rejareja

Mzee wa Kiraracha aliposhinda uchaguzi mdogo wa ubunge wa Temeke mwaka 1996 alisema ameanza kuichukua nchi kirejareja. Lyatonga Mrema alikuwa ndio ametoka kushindwa uchaguzi wa rais na William Benjamin Mkapa, ndipo ‘kihiyo’ akatokea pale Temeke akachukuliwa na maji ya fitna za kisiasa na uchaguzi ukaitishwa.

Yah: Nimeoteshwa ndoto ni nani rais ajaye?

Wanangu, leo najua ni Jumanne nyingine ambayo mtakuwa mnatafakari mustakabali wa maisha yenu baada ya kuwa kila siku inayopita mnaona nafuu ya jana. Haya yote yawezekana ni kutokana na kosa lenu la kupiga kura katika kumchagua kiongozi wako kuanzia ngazi ya tawi hadi juu kabisa.

 

Butoto atamani maendeleo Kabilizi

“Nina karibia kustaafu na kutoka mjini nirudi kijijini nikaungane kimawazo na kivitendo na wananchi wenzangu kuikomboa Kata ya Kabilizi katika Jimbo la Muleba Kusini.’’

Mwalimu Nyerere: Kujitolea kumefifia

“Siku hizi kuna watu wengi mno ambao huingia katika chama na kugombea nafasi za uongozi kwa matumaini ya kupata fedha na vyeo kwa faida zao wenyewe. Moyo wa kujitolea umefifia mno. Katika hali kama hiyo ni vigumu sana kuwapata viongozi wenye moyo wa kuwatumikia wenzao.”

Haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, wakati akikemea tabia ya wanaotafuta uongozi kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Alizaliwa Aprili 13, 1922 kijijini Butiama, Mara, alifariki Oktoba 14, 1999 jijini London, Uingereza.