Category: Siasa
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Habari mpya
- Macron: Enzi ya ‘unyonge wa Ulaya’ imekwisha
- BRELA yafuta usajili wa kampuni 11 za LBL
- Urusi yaipongeza Ukraine utayari kumaliza vita
- Mzee Profesa Philemon Mikol Sarungi afariki dunia
- Waziri Kikwete abainisha mafanikio matano miaka 10 ya WCF
- Dk Mpango ataka Afrika kubuni njia bora uendelezaji rasilimali za nishati kukidhi mahitaji
- Kilwa yaendelea kufurika watalii
- Profesa Mkenda: Miaka 30 ya VETA ni kielelezo cha mafanikio ya elimu ya ufundi Stadi nchini
- Salma Kikwete akemea malezi mabaya kwa watoto wa kiume
- Tanzania, Canada kushirikiana kwenye kukuza ujuzi wa wadau sekta ya madini
- Balozi Ulanga aeleza Rais Samia alivyoing’arisha NFRA
- MOI yafanikiwa kuanzisha huduma 10 za kibobezi, kuokoa fedha za matibabu nje ya nchi
- Majaliwa aweka jiwe la msingi ujenzi wa Bwawa la Kidinda
- Wamiliki vituo vya kulelea watoto washauriwa kuwapeleka wafanyakazi Chuo cha Ustawi wa Jamii
- Tanzania yashiriki mkutano wa mawasiliano ya simu Hispania
Copyright 2024