Category: Siasa
NUKUU ZA WIKI 62
Nyerere: Mnakimbilia Ikulu kufanya nini?
“Nilipokuwa Dar es Salaam, nilieleza mahali fulani kwamba watu wanaotaka kutuongoza wawe angalau na sifa… Sasa nasema, hata kama wanazo bado tutawauliza: Sifa mnazo, lakini mnakwenda Ikulu pale kufanya nini?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, katika maadhimisho ya Sikukuu ya Mei Mosi, 1995, mjini Mbeya.
CHADEMA: Tunataka Serikali tatu – 2
Wiki iliyopita tulichapisha sehemu ya kwanza ya maoni ya Chadema kwa Tume ya Marekebisho ya Katiba. Sehemu ya kwanza iliahidhi kuwa sehemu ya pili ya mapendekezo haya itaanzia kwenye mtazamo wa Chadema juu ya uwapo wa Serikali ya Tanganyika. Endelea…
Dk. Wanyanja: Rais apunguziwe nguvu
*Apendekeza rais anapotuhumiwa apelekwe mahakamani
*Asitumie walinzi, magari ya Serikali wakati wa kampeni
*Kuwepo serikali 3 ikiwamo ya Tanganyika , Bunge, SenetiAliyekuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. James Wanyancha (pichani), ametoa mapendekezo yake ya Katiba na kutaka rais aondolewe kinga kushitakiwa mahakamani.
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Tukatae mawazo ya kipumbavu
“Watu tunaafikiana na wazo, lakini mawazo ambayo waziwazi ni ya kijinga lazima tuyakatae. Mtu mwenye akili timamu akikupa mawazo ya kipumbavu, usipoyakataa anakudharau. Sasa hatuwezi kukubali mambo ya kipumbavu Tanzania.”
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema haya kuhimiza watu kuwa makini katika kupokea mawazo ya wengine.
RIPOTI MAALUMU
Ujangili nje nje (2)
Wiki iliyopita JAMHURI ilieleza habari za uchunguzi kuhusu ujangili unaofanywa na baadhi ya wananchi katika Kijiji cha Mkata na vijiji jirani na Hifadhi ya Taifa ya Mikumi
mkoani Morogoro.
Chadema: Tunataka Serikali 3
Chadema: Tunataka Serikali 3