Category: Siasa
Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango
Desemba 31, 2012 Rais Jakaya Kikwete alitangaza matokeo ya sensa ya watu na makazi, iliyofanyika Agosti mwaka huo. Rais Kikwete alitangaza kwamba kwa mujibu wa matokeo ya sensa hiyo idadi ya Watanzania ni 44,929,002.
Utawala bora hutokana na maadili mema (1)
Sehemu hii ya makala ilichapishwa katika toleo lililopita ikiwa na upungufu kidogo. Kwa sababu hiyo, tumeamua kuirejea yote pamoja na kuweka maneno yaliyokosekana katika makala hiyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu.
Mhariri
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Nilipata ajali ya kihistoria
“Kitaaluma mimi ni mwalimu wa kufundisha darasani; lakini kwa sababu ya ajali ya kihistoria nilijikuta nikiwa kiongozi wa mapambano ya kudai uhuru na baadaye kiongozi wa nchi yetu.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
MAONI YA KATIBA MPYA
Dk. Kamani: Mahakama isiwe juu ya sheria nchini
Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dk. Titus Kamani (CCM), amependekeza pamoja na mambo mengine, Katiba mpya idhibiti uhuru wa Mahakama na kuruhusu uundaji chombo maalumu cha kuwabana wahujumu uchumi.
Utawala bora hutokana na maadili mema (1)
Hivi karibuni Taifa letu la Tanzania limesherehekea sikukuu mbili muhimu na za kihistoria. Bara tulikuwa na sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Taifa letu Desemba 9, 2012 na Zanzibar tulikuwa na sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi, Januari 12, 2013. Ni sikukuu za kihistoria maana bila kupata Uhuru toka kwa mkoloni na bila kumpindua Sultan sidhani kama tungekuwa na Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania .
NUKUU ZA WIKI 62
Nyerere: Mnakimbilia Ikulu kufanya nini?
“Nilipokuwa Dar es Salaam, nilieleza mahali fulani kwamba watu wanaotaka kutuongoza wawe angalau na sifa… Sasa nasema, hata kama wanazo bado tutawauliza: Sifa mnazo, lakini mnakwenda Ikulu pale kufanya nini?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, katika maadhimisho ya Sikukuu ya Mei Mosi, 1995, mjini Mbeya.