Category: Siasa
CCM wachimba umaarufu wa CHADEMA Moshi
MADIWANI wa Manspaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamemwandikia barua Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakimuomba akubali kusaini makubaliano ya mkopo wa Sh bilioni 19 za ujenzi wa kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi kilichopo eneo la Ngangamfumuni mjini Moshi.
Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango – (2)
Amani Golugwa amendelea kudai kuwa wasomi wengi wameshangazwa na kauli ya Rais Kikwete ya kuwataka Watanzania wafuate uzazi wa mpango. Huo ni uzushi ambao CHADEMA ni kawaida yao.
Sagara: Katiba izuie wastaafu kurejeshwa kazini
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Amos Sagara (pichani chini), amependekeza Katiba mpya izuie wastaafu kurejeshwa katika utumishi wa umma.
Utawala Bora hutokana na maadili mema (2)
Mara baada ya Uhuru baadhi ya wageni kwa dharau za makusudi kabisa walijaribu kuchezea uwezo wa Serikali ya Taifa letu huru. Nitoe mifano ya dharau za namna hiyo.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Viongozi wabovu hulizwa na matatizo
“Viongozi wabovu wenye mioyo ya kuku, hulizwa na matatizo; bali watu madhubuti, wenye mioyo thabiti, hukomazwa nayo… hatima ya nchi yetu ni jukumu letu. Kwa pamoja tunaweza kuisaidia nchi yetu kusonga mbele kuelekea kwenye haki zaidi na usawa zaidi kwa Watanzania wote.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mtendaji Mkuu OSHA matatani
Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba, anahusishwa na matumizi mabaya ya madaraka na ya fedha za umma.