JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Napenda vyama viwili vya kijamaa “Mimi binafsi nitafurahi sana kuona Tanzania nayo ikiwa na vyama viwili vya kijamaa; na ikakataa kabisa kabisa kuweka vyombo vyake vya ulinzi na usalama mikononi mwa wapiganaji wa siasa hiyo.”   Baba wa Taifa…

Je, Mkristo akichinja ni haramu?-2

Wiki iliyopita, tulichapisha sehemu ya kwanza ya makala haya yenye kufafanua tatizo linaloendelea hapa nchini juu ya haki ya kuchinja. Ifuatayo ni sehemu ya pili ya mfululizo wa makala hizi. Wapo walioahidi kuandika makala za kuhalalisha msimamo wa sasa wa kuchinja baada ya kusoma makala haya, tunatarajia yakitufikia tu, nayo tutayachapisha kwa nia ya kuongeza uelewa. Endelea…

ARV bandia: Serikali itoe taarifa sahihi

Taarifa za karibuni zinaonesha kwamba watu 5,358 wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) waliokuwa kwenye matibabu, wameacha kutumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo (ARVs), mkoani Dodoma.

Mulugo na matatizo ya elimu

Aprili 8 mwaka huu, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo (pichani kulia), amezungumzia matatizo ya elimu yaliyoikumba Tanzania.

Sisi Waafrika weusi tukoje? (1)

Siku moja nilipokuwa nikisherehekea siku yangu ya kuzaliwa, mjukuu wangu mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alinizawadia kitabu kiitwacho ‘Waafrika Ndivyo Tulivyo?’

Uchinjaji wawanyima viongozi usingizi

Mgogoro wa kugombea uchinjaji wanyama baina ya Waislamu na Wakristo unaendelea kuwanyima usingizi viongozi wa dini na serikali.