Category: Siasa
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Moyo wa kujitolea umefifia
“Moyo wa kujitolea umefifia mno. Katika hali kama hiyo ni vigumu sana kuwapata viongozi wenye moyo wa kuwatumikia wenzao.”
Mameno haya ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Utalii uzalishe ajira kwa wananchi
Sekta ya utalii inatajwa kuwa ya pili katika kuchangia pato la Taifa kutokana na fedha za kigeni, lakini pia ina fursa nyingi zinazoweza kuzalisha ajira kwa watu wanaozunguka maeneo husika.
Serikali za Mitaa zimeshindwa kazi?
Tumesikia habari za Serikali za Mitaa. Wakati nchi yetu ilipokuwa chini ya Mjerumani hakukuwa na Serikali za Mitaa. Kulikuwa na Serikali Kuu tu ambayo ni Serikali moja ya nchi nzima.
Je, Mkristo akichinja ni haramu? – 4
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya tatu ya makala haya. Leo tunakuletea sehemu ya nne. Endelea…
Moja ya madai ya Waislamu ni kwamba wao mbali ya kumwelekeza Qibla mnyama anayechinjwa, lakini pia ni lazima atajiwe jina la Mwenyezi Mungu.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Chama hakitakiwi kufanya kazi za Serikali “Katika aina yoyote ya utawala wa kidemokrasia, Chama kinachoshika Serikali, hakitakiwi kufanya kazi za Serikali, na haifai kifanye vitendo kana kwamba ndicho Serikali.” Haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius…
Je, Mkristo akichinja ni haramu? – 3
Wiki iliyopita makala haya yaliishia Mbunge Hafidh Ali Tahir, alipoiomba Serikali kuweka utaratibu wa kuchinja. Je, unajua majibu aliyotoa waziri? Endelea…