Category: Siasa
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria
“Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na sheria na si kwa akili zao wenyewe.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius K. nyerere.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
- Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya TAMISEMI Trilioni 11.78 kwa mwaka 2025/2026
- Masauni awataka Watanzania kuendelea kuuenzi, kuulinda Muungano
- Zaidi ya bilioni 19 kutumika kwa ujenzi wa barabara, madaraja Manyara – RC Sendiga
- Wabunge waitaka Wizara ya Fedha iipe fedha Wizara ya TAMISEMI itekeleze majukumu yake
- eMrejesho V2 yachaguliwa kuwania Tuzo za WSIS 2025
Habari mpya
- Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya TAMISEMI Trilioni 11.78 kwa mwaka 2025/2026
- Masauni awataka Watanzania kuendelea kuuenzi, kuulinda Muungano
- Zaidi ya bilioni 19 kutumika kwa ujenzi wa barabara, madaraja Manyara – RC Sendiga
- Wabunge waitaka Wizara ya Fedha iipe fedha Wizara ya TAMISEMI itekeleze majukumu yake
- eMrejesho V2 yachaguliwa kuwania Tuzo za WSIS 2025
- Makamu wa Rais kufungua Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii wa Vyakula Arusha
- Serikali yakifungia kituo cha tiba Dar
- Wananchi Dodoma waipa heko bajeti ya TAMISEMI
- Ulega atoa siku 30 kwa mkandarasi barabara ya Nsalaga – Fisi kuweka lami
- Kambi ya madaktari bingwa, Comoro yaipa sifa Tanzania
- Rais Samia ampongeza Alphonce kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania
- Chuo kikuu cha Harvard chaushitaki utawala wa Trump
- Mbunge Byabato ameiweza Bukoba
- Polisi, DCEA wakamata shehena ya bangi ikitoka Malawi
- ACT- Wazalendo yaguswa kifo cha Papa Francis