JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Wakenya wamaliza msitu Tanga

*Maofisa wahusika wawakingia kifua

Hifadhi ya Msitu wa Mtae wenye ukubwa wa hekta 3,182 katika Tarafa ya Maramba, wilayani Mkinga, Tanga, iko hatarini kutoweka kutokana na uvamizi unaofanywa na raia wa Kenya, kwa baraka za baadhi ya viongozi na wananchi wa Tanzania.

Vidonda vya tumbo na hatari zake (1)

ijmc

Miili yetu hutegemea vyanzo viwili vya nguvu ambavyo ni oksijeni na vyakula. Oksijeni huingizwa ndani ya miili yetu kupitia pumzi na kuingia moja kwa moja katika utendaji, wakati chakula hutakiwa kupitia mchakato mrefu kuweza kutumiwa na mwili.

Kijana Malele adhalilishwa kutangazwa kichaa

Kijana aliyejitangaza kung’atuka ushirika wa mtandao unaodaiwa kuhusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, anaweza kulalamikia kitendo cha kudhalilishwa kwa kumtangaza kuwa ni mgonjwa wa akili.

Maisha ya mjasiriamali baada ya kustaafu

Wiki iliyopita nilifika katika mmoja ya mifuko ya pesheni kujiandikisha kwa ajili ya utaratibu wa kujiwekea akiba kwa mpango wa kuchangia kwa hiari. Baada ya kutoka katika ofisi za mfuko huo wa pesheni nikiwa na fomu na makabrasha mengi, nikakutana na mtu mmoja ambaye maongezi kati yangu na yeye ndiyo yaliyonisukuma kuandika makala haya.

Wanasiasa mmewasaidiaje wakulima wa pamba?

Msimu wa zao la pamba unakaribia kuanza, huku hali ya ubora na uzalishaji wake hapa Tanzania ukiwa hauridhishi. Kilimo cha Mkataba bado hakijafanya kazi.

NUKUU ZA WIKI

Mwalimu Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria

“Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na sheria na si kwa akili zao wenyewe.”

Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius K. nyerere.