JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Kasaka: Tanganyika imerejea, tukikosea Tanzania itafutika

Mwanasiasa mkongwe nchini, Njelu Kasaka, amezungumza na JAMHURI na kueleza alivyopokea rasimu ya mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Marekebisho ya Katiba. Kasaka alikuwa kiongozi la wabunge 55 mwaka 1993 lililojulikana kama G55 likishiriki kudai Serikali ya Tanganyika. Yafuatayo ni mahojiano kati ya Kasaka na JAMHURI. Endelea…

Vidonda vya tumbo na hatari zake (2)

Tumbo la mtu mzima lina urefu wa takriban inchi 10 (sentimeta 25) na linaweza kutanuka kwa urahisi kiasi cha kubeba robo lita ya (chakula). Chakula hukaa katika tumbo kwa karibu saa nne.

Serikali tatu ni utashi wa kisiasa

Gumzo la kudai kuwa na muundo wa Serikali tatu haukuanza leo. Kwa wafuatiliaji wa mambo ya historia watakumbuka sakata la madai ya kuwa na serikali tatu yaliyoongozwa na Mbunge machachari wa Lupa enzi hizo, Njelu Kasaka, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam chini ya kivuli cha kundi lililojiita G 55. Waziri Mkuu mstaafu John Malecela anakumbuka kilichomsibu.

NYUFA KATIKA KUTA ZA POLISI

Baba wa Taifa, Mwalimu Juliua Kambarage Nyerere, aliliasa Taifa kuendelea kuchunguza kuwapo kwa nyufa na kuziziba zitokeapo katika kuta za ‘Nyumba’ ya Taifa.

Imani yako inaakisi fedha zako

 

Nafahamu kuwa wengi kama si wote, tunakubaliana kuwa fedha zina umuhimu mkubwa katika maisha ya mtu, tunachotofautiana ni imani kuhusu fedha.

 

TBS inavyojizatiti kuitekeleza sheria mpya ya viwango

• Yapania kutowaonea haya wazalishaji na waingizaji wa bidhaa hafifu

Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1975, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limekuwa likiwahudumia wananchi na umma kwa ujumla katika kuhakikisha kwamba ni bidhaa bora tu ndizo zinazoingia sokoni. Hata hivyo, kwa miaka mingi, utendaji wa shirika hilo umekuwa ukikwamishwa kwa kukosekana nguvu za kisheria za kuwachukulia hatua wale wanaokiuka kanuni na taratibu za ubora. Katika makala haya, MWANDISHI WETU anabainisha jinsi shirika hilo lilivyojizatiti kuitekeleza ipasavyo Sheria mpya ya Viwango ili kuhakikisha kuwa soko la Tanzania linatawaliwa na bidhaa bora…