JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

MATHIAS CHIKAWE: Mwanasheria aliyejifunika siasa

* Asema yeye kuwa Waziri wa Katiba na Sheria anajiona kama samaki aliyetumbukizwa majini

 

Wakazi wa Jimbo la Nachingwea mkoani Lindi, wana kila sababu ya kujivunia bahati ya wabunge wao kuteuliwa na Rais kuongoza wizara mbalimbali hapa Tanzania. Edgar Maokola-Majogo, aliyeliongoza jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 30, pamoja na wizara nyingine, alipata kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, kitengo cha Kupunguza Umaskini na Kuratibu Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Waziri wa Nishati na Madini.

Warioba: Hatutaki Katiba ya maandamano

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji (mstaafu) Joseph Warioba, amekemea vyama vya siasa vinavyoelekea kutafuta Katiba mpya kwa njia ya maandamano na kuwagawa Watanzania.

Wahamiaji haramu waishi kifalme Ngara

* Uhamiaji yawagawia vibali kinyemela

* Wizi mifugo ya wazawa wakithiri, mazingira yaharibiwa

 

Wakati Serikali kupitia kwa Mkuu wa Operesheni Kimbunga, Simon Sirro, ikijigamba kufanikiwa katika kazi ya kuwakamata wahamiaji haramu na kuwarudisha kwao, JAMHURI imebaini kuwa wahamiaji wengi wanaishi na mifugo yao katika Pori la Akiba la Kimisi, Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, huku wakikingiwa kifua na baadhi ya vigogo wa Idara ya Mifugo, na Uhamiaji wilayani hapa.

NUKUU ZA WIKI

Julius Nyerere: Wanaotumia fedha kuomba uongozi hawatufai

Yah: Al-Shabaab waishie huko huko walikoanzia

 

Kama miaka 10 iliyopita, hawa wenzetu Wakenya walikuwa na kazi kubwa ya kusuluhisha mgogoro wa uchaguzi, uliosababisha baadhi ya Wakenya kupoteza maisha na wengine kuendelea kuwa walemavu hadi leo.

 

Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania

 

‘Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania’ ni kitabu kilichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1994. Ndani ya kitabu hiki kuna maneno mengi makali na ya kukosoa uongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya wakati huo, iliyokuwa ikiongozwa na Rais Ali Hassan Mwinyi. Mwalimu aliwakosoa wazi wazi aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, John Malecela, na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba. Ifuatayo ni sehemu ya kwanza ya kitabu hicho kama inavyoletwa kwenu neno kwa neno kama alivyoandika Mwalimu mwenyewe. Endelea…