Category: Siasa
MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE
Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (3)
Huu ni mtiririko wa maandishi yaliyo katika kitabu cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1994. Sehemu iliyopita Mwalimu alieleza kuzuka kwa suala la Zanzibar kujiunga OIC, na viongozi wakaliombea bungeni mwaka mmoja wa kulitafakari. Endelea…
BUTIAMA 2: 8:1993
Masuala mawili hayo, (i) msimamo wa Zanzibar kuhusu utaratibu wa kuchagua Makamu wa Jamhuri ya Muungano, na (ii) Zanzibar kuingia katika OIC ndiyo yaliyokuwa sababu ya ujumbe wa mara kwa mara kati yangu na Rais wa Jamhuri ya Muungano; na ndiyo Rais na mimi tulikuwa tukiyazungumza Butiama, tarehe 2 Agosti, 1993. Baada ya kuyazungurnza kwa muda mrefu na kuelewana nini la kufanya, Rais akanifahamisha kwamba Waziri Mkuu kamletea habari kwamba:
Zitto wa PAC na CHADEMA ni sawa?
“Mimi sifanyi siasa hapa, natekeleza jukumu langu kama mwenyekiti wa kamati, kwa hiyo hili ni onyo kwao, nipo tayari kunyongwa nikitetea maslahi ya umma.”
BARUA ZA WASOMAJi
Wafanyakazi turudi, tutafakari, tuamue, tujitambue
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia hali ya mambo ndani ya mashirikisho ya vyama vya wafanyakazi Tanzania, baadhi yanafurahisha na mengine yanatia simanzi.
MISITU & MAZINGIRA
Tupande miti ili kukuza uchumi wetu (2)
Urahisi wa kutumia mkaa si bei yake, bali ni kutokana upatikanaji wake (unasambazwa sehemu nyingi mijiji na wauzaji wadogo wadogo) na mtumiaji halazimiki kuweka mkaa mwingi, bali ananunua kulingana na mahitaji ya kila siku pengine kwa kutumia Sh 500 au 1,000 kwa kwa siku.
Ni wakati wa Tanganyika kuachana na Zanzibar?
Alhamisi, Septemba 26, mwaka huu Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Shariff Hamad, alizungumza na watu wanaodaiwa kuwa ni Wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara, jijini Dar es Salaam.
JAMHURI YA WAUNGWANA
Rais dikteta atatutoa hapa tulipo
Taifa lipo njia panda. Sheria hazifuatwi. Kila mmoja wetu anataka afanye au afanyiwe lile analotaka. Masikini wanazidi kuumia. Lakini kwa nafasi zao, nao wameamua kufanya kila wanaloweza alimradi nao wasiwe nje ya mparaganyiko huu.