Category: Siasa
JAMHURI YA WAUNGWANA
Sisi tunaona ya kipuuzi, wenzetu wanayachukua
Kazi ya uandishi haina tofauti na kazi inayofanywa na makasisi na masheikh. Tangu nimeanza kushiriki ibada, nimeyasikia maneno yale yale yakirejewa makanisani, na kwa kweli ni hayo hayo yanayorejewa misikitini, na kadhalika.
FIKRA YA HEKIMA
Bravo Kikwete, lakini agizo lako lisilenge mahindi, Njombe pekee
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, anastahili pongezi kutokana na hatua yake ya kutengua msimamo wa muda mrefu wa Serikali kuwazuia wakulima kuuza mahindi nje ya nchi.
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani bado ni vichanga? (1)
Mara kwa mara Watanzania huzungumzia juu ya vyama vya siasa, hasa vyama wanavyoviita vyama vya upinzani au vya ukingani. Mazungumzo hayo ni kuhusu sababu za kuanzishwa, shughuli zinazofanywa na malengo ya vyama hivyo.
Serikali isisaidie shule za watu binafsi
Wazo limetolewa la kuitaka Serikali isaidie shule za watu binafsi na tayari wazo hilo limeanza kupigiwa debe serikalini.
Taarifa rasmi ya Kambi ya Wanyamapoli bungeni
Mheshimiwa Spika, awali ya yote tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa Bunge lako tukufu kwa kutambua uwepo wetu hapa bungeni leo hii.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Ole wao wale watakaoifanya siku hiyo isiepukike
Siku inakuja ambapo watu watachagua kifo kuliko fedheha na ole wao wale watakoiona siku hiyo!
Na ole wao wale watakaoifanya siku hiyo isiepukike. Natumaini na kusali kuwa siku hiyo kamwe haitofika.
Kauli hii ilitolewa na Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Januari 1966