Category: Siasa
Maswi: Gesi imeanza kuwatajirisha Mtwara
“Kazi ya kuunganisha na kusambaza mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam imefikia hatua ya kuridhisha. Kazi hiyo inafanywa na mashirika yenye uzoefu mkubwa kimataifa, ambayo ni Shirika la Teknolojia na Mendeleo ya Petroli la China (CPTDC), Kampuni ya Kutengeneza Mabomba ya China (CCP), Worley Parsons Limited na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Tayari mpaka sasa kilomita 142 kati ya 542 zimekamilika. Mradi huo unaotarajiwa kukamilika Desemba mwakani na utakuwa na mitambo ya kisasa.”
Kinachonifanya nimpende Lowassa, hitimisho
Wakati naandaa makala niliyosema “Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki” na kuichapisha katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita, hayakuwa mategemeo yangu kama makala hiyo ingeigusa jamii kwa kiasi nilichokishuhudia. Nimepigiwa simu nyingi mno, nimetumiwa ujumbe mfupi wa maandishi mwingi, na bado mpaka sasa naendelea kupokea simu na ujumbe!
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
FIKRA YA HEKIMA
Kagame, Museveni, mkataa wengi ni mchawi
Ndoto za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeyeyuka.
Sasa ushindi uko mikononi mwa UTATU MWAMINIFU (Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya).
Kibanda alistahili Tuzo ya Mwangosi
Ni siku ya historia ya pekee hapa Tanzania, siku ambayo mwandishi wa habari Absalom Kibanda na mjane wa Daudi Mwangosi, Itika, wamemwaga machozi mbele ya umati wa waandishi wa habari ukumbini.
MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE
Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (6)
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya tano ya mtiririko wa maandiko ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere juu ya Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania. Katika kitabu alichokiandika mwaka 1994, Mwalimu alisema: “Ati Chama hakiwezi kupinga Bunge lake, lakini kwa mantiki ya ajabu ajabu wabunge wanaweza kupinga chama chao! Hiyo ndiyo demokrasia halisi ya mageuzi. Nilirudi Butiama nikalipa ada yangu ya CCM na nikaandika utenzi wa Tanzania Tanzania!” Endelea…
Jukumu la kueleza taarifa hii ya Serikali katika Halmashauri Kuu ya Taifa aliachiwa Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mheshimiwa Samuel Sitta. Baadaye, baada ya kikao nilimtafuta Ndugu Sitta, nikampa pole kwa kupewa jukumu la kueleza jambo ambalo halielezeki.
- ‘Hakuna mwenye uwezo wa kusamehe madeni ya kodi – CG Mwenda
- Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi – Dk Biteko
- PURA kunadi vitalu 26 vya utafutaji mafuta na gesi asilia
- Tanzania, Oman kushirikiana sekta ya maliasili na utalii
- Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba
Habari mpya
- ‘Hakuna mwenye uwezo wa kusamehe madeni ya kodi – CG Mwenda
- Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi – Dk Biteko
- PURA kunadi vitalu 26 vya utafutaji mafuta na gesi asilia
- Tanzania, Oman kushirikiana sekta ya maliasili na utalii
- Rais Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba
- Rais ashiriki mkutano wa SADC Organ kwa njia ya mtandao, Ikulu jijini Dar es
- Rais Samia afanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO
- Makamu wa Rais afungua mkutano wa viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma kuhusu mabadiliko ya tabianchi
- Salma Kikwete : Sikupata kura za itifaki, nilipambana bila kutishika
- Mawakala wa vyama kielelezo cha uwazi uboreshaji daftari la wapiga kura
- Urusi imeshambulia Ukraine usiku kucha
- Ufaransa kuipatia Ukraine silaha za nyuklia?
- Dk Samua kuisuka upya Muhimbili kwa trilioni 1.2/-
- Macron: Enzi ya ‘unyonge wa Ulaya’ imekwisha
- BRELA yafuta usajili wa kampuni 11 za LBL