Category: Siasa
Milima, mabonde ya Nelson Mandela
Mpigania haki za weusi na alama kuu ya udhalimu wa mfumo wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, Mzee Nelson Madiba Mandela, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu, kutokana na maambukizo ya mapafu kushindwa kutengamaa.
Nyerere na Uhuru wa Tanganyika
Nazungumzia Uhuru wa Tanganyika. Sizungumziii Uhuru wa Tanzania Bara.
Majuzi niliona mabango yaliyosambazwa jijini Dar es Salaam. Mabango hayo yalisomeka “SHEREHE ZA MIAKA 52 YA UHURU WA TANZANIA BARA”.
Zuma: Nelson Mandela amepumzika kwa amani
Alhamisi usiku Desemba 5 mwaka huu, Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, alitangaza kifo cha Rais wa kwanza mweusi nchini humo, Nelson Mandela, ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95.
FIKRA YA HEKIMA
Kikwete kwa hili lazima nikupongeze
Jakaya Mrisho Kikwete (JK), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu. Kuna taarifa kwamba umewaongezea muda wa kazi viongozi wa ngazi ya juu katika vyombo vya ulinzi na usalama waliopaswa kustaafu kipindi hiki.
NUKUU ZA WIKI
Julius Nyerere: Kufikiri unajua kila kitu ni hatari
“Watu walio hatari sana ni wale ambao wanafikiri kuwa wanajua kila kitu, wala hawana haja ya kujifunza tena. Hii ni tabia mbaya ambayo huzuia kabisa maendeleo.”
Serikali iondoe sheria kandamizi kwa vyombo vya habari
Ndugu Mhariri
Natamani Watanzania kwa ujumla wetu tuwe na uelewa wa nguvu wa vyombo vya habari. Ikiwezekana tuingie barabarani kuishinikiza serikali iondoe sheria nzima ambayo ni kandamizi dhidi ya vyombo vya habari hivi.