JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?

Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.

Malengo ya Kazi (1)

Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968

Waheshimiwa, Mabibi na  Mabwana,

Tumekubali kuwa punda wa Wakenya

Hivi karibuni Serikali yetu imeridhia kuiuzia Kenya tani 50,000 za mahindi. Mahitaji ya Kenya yalikuwa kupata tani 200,000.

Biashara zinahitaji akili za kisasa

Wiki mbili zilizopita, nilipata wasaa wa kuongea kwa kirefu kwa njia ya simu na mjasiriamali kutoka mkoani Singida. Katika mazungumzo yetu mjasiriamali huyu wa miaka mingi alilalamika namna biashara zilivyobadilika nyakati hizi na namna ushindani unavyotishia mustakabali wake.

Mjasiriamali huyu alinipa mifano ya namna zamani alivyokuwa akipata faida kubwa katika bidhaa mbalimbali. Anaeleza, “Zamani nilikuwa nakwenda Dar es Salaam na kununua unga wa ngano kwenye mifuko ya kilo 50, nikija hapa Singida nikiuza kwa jumla ninapata faida ya hadi shilingi elfu tano. Leo hii mfuko wa unga wa kilo 50 huwezi amini, ninapata faida isiyozidi shilingi mia tano!

KAGAME NI MTIHANI

Viongozi Maziwa Makuu waufanye kwa uangalifu

Kama kuna nchi ambayo imeweza kurithi vilivyo udanganyifu wa kisiasa na unafiki ambavyo himaya kuu ya zamani ya ‘Roma’ ilikuwa navyo, basi ni Taifa kubwa la sasa ‘Marekani’.

Hakika Marekani ndiyo dola kubwa linaloongoza kwa kuwa ‘wakili wa shetani (the devil’s advocate)’.

Katika enzi hizi za Marekani kuwa dola kubwa, yaani kuwa babeli mkuu, damu ya watu wasio na hatia na wasioujua hata huo ubepari wenyewe imemwagika mno na hakuna hata chembe ya soni au hatia ambayo Marekani imejivisha. Hakika imekuwa Roma. Roma ya ustaarabu na sheria vilivyoleta mateso yasiyomithilika.

Kwanini Zanzibar?

Hili ni swali linalogonga vichwa vya wananchi wengi siku hizi. Hivi karibuni kule bungeni Dodoma kulitokea kadhia kubwa iliyosababisha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kususia vikao na kutoka nje ya bunge hili.