Category: Siasa
Kama Muhimbili imeboreshwa, kwanini watibiwe ng’ambo?
Rais Jakaya Kikwete, anatibiwa nchini Marekani. Walimwengu wametangaziwa kwamba Rais wetu amefanyiwa upasuaji wa Tezi Dume. Naungana na wote wanaomtakia siha njema ili hatimaye arejee nchini salama.
Tatizo la Tanzania si Katiba
Ujio wa Katiba mpya unasubiriwa kwa shauku kubwa na wananchi ambao naweza kusema wanapenda kumaliza matatizo kwa njia za kujipa matumaini.
UDA yaondoa ngumi, ngono kwa wanafunzi Dar
Miaka kadhaa iliyopita, wakazi wa Jiji la Dar es Salaam hawakuwa na uhakika wa kusafiri salama kutoka eneo moja kwenda jingine.
Hali hiyo ilichochewa na uhaba wa huduma za usafiri wa umma na za kiwango cha chini tofauti na majiji mengine kwenye mataifa mbalimbali barani Afrika, Ulaya na Marekani.
Ufwiliku huu wa nini?
Septemba 18, mwaka huu wa 2014 historia ilijirudia katika nchi yetu hii. Nasema hivi kwa sababu Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini (CHADEMA), Mheshimiwa Freeman Mbowe alitiwa msukosuko wa kihistoria.
Jifunze kuwa mteja bora
Mara nyingi tumekuwa tukieleza na kuwasisitiza wauzaji wawe na ukarimu kwa wateja (customer care), lakini tumekuwa tukiipuuza nafasi ya mteja katika kumsaidia muuzaji awe mkarimu kwake.
VITA DHIDI YA UJANGILI Waraka muhimu wa Mch. Matwiga …1
Ndugu Watanzania wenzangu na Wizara ya Maliasili na Utalii, kwanza naomba kusema jambo moja kama Mtumishi wa Mungu, ambaye nimeitwa naye kwa maslahi ya mbingu, ili kuijenga jamii na umma kimaadili. Nitasimama siku zote katika “kweli” na hiki ndicho “kiapo changu” ee Mungu tusaidie.