JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Nani asiyependa kumeguka CCM inayobaka demokrasia?

Historia inaonesha kuwa vipindi fulani katika mustakabali wa nchi unalazimisha kupima nini ni janga zaidi ya jingine. Marehemu Samora Machel na Frelimo walikubali kutia saini Mkataba wa Nkomati wa ushirikiano na makaburu kama mkakati wa kujinusuru, na kutoa nafasi kukabili…

Lowassa kuhamia Chadema hajabadili uraia

Edward Ngoyai Lowassa kaamua kufanya mabadiliko ya kweli ya siasa hapa nchini. Kakihama chama chake cha siku zote na kuingia kwenye chama kingine, chama kikuu cha upinzani hapa nchini – Chadema. Huo ni uamuzi ambao Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,…

Yah: Eti ngoma ya kitoto haikeshi? Nitathibitisha

Ngoma inogile – wale wa kucheza wanacheza na wale wa kushangilia wanashangilia na sisi watazamaji tunaoona utamu wa ngoma tumekaa pembeni kushuhudia mirindimo ya ngoma na mashairi yaliyopangika, ni burudani sana lakini ngoma yaelekea haitakesha mwisho ni alfajiri ya Oktoba….

Kweli tunahitaji mabadiliko?

Kwanza nianze kwa kuweka usahihi kwenye kichwa cha habari cha makala iliyopita katika safu hii ya Fasihi Fasaha.  Nilizungumzia juu ya “Usibadili bura yako na rehani”. Bura na rehani ni majina ya vitambaa vya hariri vyenye asili moja ya malighafi…

Tatizo siyo Edward Lowassa, ni Chadema

 Kupokelewa kwa Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kama mwanachama wa Chadema na kuteuliwa kwake kuwa mgombea urais wake ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kunapaswa kuwaacha hoi Watanzania wengi. Hoi kwa…

Tumekosea barabara za mwendo kasi (1)

Nianze hoja yangu kwa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai na amani ndani ya mioyo yetu, na hatimaye kuweza kuyafanya mengi tuyafanyayo kila kukicha likiwamo hili la ujenzi wa barabara za kuwezesha mabasi kwenda mwendo kasi. Kwa mantiki hiyo…