JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Afya

Serikali yachukua tahadhari kujikinga na Ebola

Serikali imesema mtazamo wa nchi ni kuhakikisha ugonjwa wa Ebola uliopo nchi jirani ya Uganda hauingii nchini Tanzania. Kauli hiyo imebainishwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu wakati akiwa ziarani mkoani Kagera kuangalia utayari wa mkoa huo kukabiliana…

Serikali yapaisha ustawi wa watu wasioona nchini

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefanikiwa kuwawezesha Watu wasioona hususan katika eneo la Ajira, Michezo na TEHAMA. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (kazi, Ajira, Vijana na Wenye…

Matumizi holela ya dawa kupoteza mamilioni ya watu duniani

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Imeelezwa kuwa ifikapo mwaka 2030 watu zaidi ya milioni 10 watakufa kwa kila mwaka kutokana na matumizi holela ya dawa za mifugo ambayo yamekuwa yakisabaishwa vimelea vya magonjwa kujenga usugu. Aidha matumizi ya dawa kiholela ya dawa…

Watoto 64 wafanyiwa upasuaji wa moyo, Serikali yaokoa bilioni 1.6/-

Watoto 64 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji katika kambi maalum ya matibabu ya siku sita iliyomalizika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Watoto hao walikuwa na matatizo ya matundu…

Arusha yaanza kuchukua tahadhari mlipuko wa Ebola

Mkoa wa Arusha umeanza kuchukua tahadhari ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kutokana na kuwa na muingiliano mkubwa wa wageni kutoka nchini Uganda kulikoripotiwa kuwa na ugonjwa huo. Akizungumza na kamati ya afya ya msingi katika kuweka utayari…

Prof Makubi:Bima ya afya inatoa fursa ya kutibiwa hospitali yoyote unayoitaka

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi amebainisha kuwa, Bima ya Afya kwa wote itatoa fursa kwa Mtanzania mwenye hali yoyote kwenda kupata matibabu katika hospitali yoyote zikiwemo hospitali za kitaifa kama Muhimbili na nyingine za kibingwa. Prof. Makubi…